Asante kaka.
Hongera sana
Asanteni wakuu.Very interesting story kwakweli wengi wetu muda tuliuchezea sana huko vyuoni. Binafsi huwa natamani sana kuwa benet na watu km hawa wenye inspiration kwa wengine. Hongera sana mkuu umenipa insparation kubwa sana kwa kweli.
Asante brother pia umenisaidia sana kwa maandiko yako mengi,ingawa huwa sipendi kukomenti lakini nimsomaji mzuri sana wa mada zako.Naomba usichoke kuendelea kuandika unanisaidia kuniongezea ari ya upambanaji.Asante sana kaka.
Mkuu nikupambana tu kila kitu kinawezekana.Nimekuonea gere ghafla...
Hongera mpambanaji,Mungu akutangulie na akuepushe na husda
Asanteni sana sana tena sana.Safi sana yaani nimependa mapambano yako yamenitimia moyo sana na mimi kama kijana mwenzangu
Asante sana mkuu ushauri wako nimeuchukua na ntahakikisha naufanyia kazi.Hongera sana Mdogo wangu..huwa nawatia moyo sana wapambanaji kama wewe, ukitoka chuo hakikisha unaingia kwenye biashara ya manufacturing unafanya na packing mwenyewe na kusupply kwa masupplier hiyo ina faida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ujumbe. Anza kidogo kwa hicho hicho ulichonacho fursa nyingine utaziona ukiwa ndani ya safari yako.
Mkuu hongera na mimi binafsi naomba uandike huo uzi ili nasi tujifunze.Nimejifunza kwajinsi watu walivyo pata inspirational kwa ujumbe huu itabidi na mm niwe muwazi wa mafaniko yangu kwa kutoa post One Day, huenda watu watajifunza na kuamka.. Soon nitaiandaa nakuipost hapa watu waone nilivyo toka kwenye maisha duni mpaka sasa namiliki Account ya 84Milion, Nyumba ya 120milion na biashara ya dhamani kubwa zaidi ya 400mlioni. Kwa mihangaiko tangu nikiwa Chuon Udsm 2008-2011 na mpaka leo hii.. 2017.
Stay tuned guys.
Sent using Jamii Forums mobile app