Kila kitu kiliratibiwa nadhani baada ya hapo,husiki tena,alkaida,talebani,sadamu huseni wala gadafi,aliyebaki ni irani naye anatafutwa sema kakimbilia kuomba hifadhi kwa mchnia na mrus...ila siku zake zinahesabika.
Kwahili samia hakwepi,kuingiza dini kwenye mitaala ya kielimu ni maelekezo aliyopewa uarabuni,lengo kuu ni kuleta utengamo wa kidini ili iwe rahisi waarabu kutawala tena,huoni sakata la dp world liikuaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.