Acheni wizi wa kufoji kazi,mfumo unatambua progress,utimizaji wa majukumu yako kila siku,wewe unatimiza majukumu ya mwaka mzima maramoja unataka uwena 100% ?
Andikeni barua mzipeleke ngazi za juu za maamuzi kama bodi ya chuo,kanisa pamoja na nactvet na wizara bila kusahau kwa mkuu wa mkoa na mwenyekiti wa ccm mkoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.