Soma hukumu, hakuna sehemu kumeonekana kwamba alimpiga shoka, amesema alimkaba kisha akamsukuma akaangukia jiwe lilikuwa chumbani. Jiwe hilo lilikuwa linazuia kitanda.
Kuna mtu aliwahi kufanya utafiti na akaja na majawabu ya maswali y majibu yake kwamba wanawake wapo katika uwezo mkubwa wa kupata mimba kuliko wanaume endapo watajihusisha na masuala ya ngono
Mkuu umenikumbusha juzi kuna dogo kaja kwenye duka langu la dawa akaniambia yeye ni famasisti anatafuta kazi ila mshahara lazima uwe 1m na atakuwa anakaaa mara mbili tu kwa wiki. Nikamuuliza mbona gharama iko juu akasema ndio walivyokubaliana chuoni kwamba mtu asikubali chini ya hapo. Nikambia...
Kwanza ni sehemu salama, hakuna CCTV camera, gharama ni nafuu kwani hulipii chumba cha hotel( sio guest house ieleweke) hutapigwa mzinga wa pombe kwenye gari hakuna pombe wala chips au nyama choma. Utapiga bao moja tu then mnasepa hivyo hutachoka sana na uwezekano wa kupata michubuko ni kidogo(...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.