Wazazi pia huwa wana hype kipaji cha mtoto tofauti na uhalisia.
Pia peer pressure itavyomuathiri mtoto hasa akiwa na uhuru advance inaweza athiri matokeo yake.
Kuna namna ushauri wa wazazi kukuambia kasome kitu fulani muda mwingine huwa washaona gap upande huo na kuna watu nishawashuhudia...
Walemavu tena😁😁😁, size ya nchi ukilinganisha na resources inaweza isiwe kikwazo sana, angalia nchi ndogo kama Burundi bado wana maisha magumu tu nao.
Point ya Walemavu 200 nakubaliana nayo
Nami nlikuwa na plan ya kuanza na bajaji ambayo nitaitoa kwa mkataba kwa mtu/ hesabu za siku kwa Dar es Salaam.
Sijawahi fanya,lakini nishawahi kufanya ya pikipiki miaka ya nyuma mkoani Mbeya, nlimpa dereva jamaa wa heshima tu na familia. Haikuenda vizuri, lakini tukaja fikishana polisi mara...
Serikali huwa hairatibu kila kitu, lakini inaweza chukua advantages ya hayo matukio ambayo siyo yote.
Naamini inafurahia sana matukio yanayochukua attentions za watu wengi.
Wewe unadhani kama wakipita mtandaoni waone watu wako bize na kujadili katiba mpya, chuki dhidi ya serikali unadhani...
Huo mfano umetolea ni watu wachache sana,ni sawa wana mafanikio makubwa kuliko wengine lakini ni wachache mno.
Chukulia watu tajiri kwa Tanzania, au nchi yeyote ile matajiri 100/ 20 tu angalia historia yao wametoka mazingira gani.
Baada ya hapo angalia tabaka jingine la kati kati uone kati ya...
Sawa lakini nani aliyeuwa watu kwa sentensi moja?
Kwenye uchunguzi unaofanyika hakuna phrase inayoingiza hilo swala,yanachunguzwa mengine kama wafadhili, waliofanya lakini kwa aliyeuwa ndiyo wanachora mstari
Siyo kwamba kila tukio la ajabu linaanzishwa na kupewa priorities kuzima mambo muhimu ya kisiasa.
Jambo la ajabu likionekana kuchukua popularity watu wa system wanayaongezea miles ili kuwasahaurisha watu mambo ya kujadili masuala ya kisiasa ambayo ni mzigo kwao.
Kingine raia wanapata hofu/...
Hakuna mtu aliyesema nini kifanyike. Mwamposa hawezi wamudu kuwalisha,malazi,nauli kwa watu wote wale, na akifanya hivyo navyowajua wa Tz watajazana mamilioni hapo.
Hawezi wakataza pia kwenda(unamfukuzaje mteja?), na serikali haiwezi ingilia kati sababu ni mtu wao wa karibu.
Lakini kwanini...
Sjamaliza yote ila mazingira yana aslimia 80% ya mtu kufanikiwa. Mtu aliyetoka mazingira ya pesa ana aslimia nyingi ya kufanikiwa.
Siyo kwamba wanaotoka mazingira magumu hawafanikiwi, ila ni wachache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.