😁😁😁, hakuna deni linauma kama hilo.
Pia kwenye issue kama hizo ukiwa serious sana inabidi upambane siku za mwanzoni dirisha likifunguliwa au kama ukivyosema usiku wa manane sana.
Hili limeniuma wanavyofanya hawa wakenya.
Wakenya kwao ajira ni za kikabila angalau kwetu ajira basic za Tamisemi hazina ubaguzi kama wao.
Wao wengi wanafanya kazi na wame invest nje ya Kenya tena nchi za hapa Africa mashariki. Wa pumbavu hawa wanafanya kazi ambazo zinaweza fanywa na wa...
Tanzania hatutafikia hatua ya katiba mpya hivi hivi wakati katiba mpya haiwapi favour wanao enjoy nchi.
Lazima tupitie katika tanuru la moto ndiyo nchi itakuja ku stablize kwanza nchi yetu haijawahi pitia misuko suko zaidi ya uchaguzi uliopita. Tulitaka kuruka stages.
Hata nchi zilizotulia...
Kwa namna ya mtoa maada. Hata akimaliza kazi ataanza kujishikiza kwenye garage za watu na ataacha kazi!.
Naona ni mapito tu ya maisha ajaribu kuangalia kitu atadumu nacho ambacho ataona kina future nzuri hata akianza kidogo.
Uzinzi una hasara sana kiuchumi na kiafya hujakosea.
Lakini wanaume wengi hata waliofanikiwa ni wazinzi wa kutupwa au mtoa maada unaupima vipi?
Uzinzi ambao unaokuangusha kiuchumi hadi unafirisika au kushindwa kupiga hatua ambapo sababu kubwa ni uzinzi pekee basi hata ukiacha huo uzinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.