Recent content by Jitu la-Mtumba

  1. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Hii ni comment bora sana.
  2. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa OLAMS, Bodi ya Mikopo unagoma ku apply na siku zimebaki mbili tu

    😁😁😁, hakuna deni linauma kama hilo. Pia kwenye issue kama hizo ukiwa serious sana inabidi upambane siku za mwanzoni dirisha likifunguliwa au kama ukivyosema usiku wa manane sana.
  3. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Wenye Baa tafadhalini Pandisheni Bei ya Chupa za Maji!

    Huwa wanasubiri tulewe watuibie,mi nishawashtukia.
  4. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kenya waanza kutimua wageni, dunia imebadilika, ubinafsi, roho mbaya vonazodi kututenganisha

    Hili limeniuma wanavyofanya hawa wakenya. Wakenya kwao ajira ni za kikabila angalau kwetu ajira basic za Tamisemi hazina ubaguzi kama wao. Wao wengi wanafanya kazi na wame invest nje ya Kenya tena nchi za hapa Africa mashariki. Wa pumbavu hawa wanafanya kazi ambazo zinaweza fanywa na wa...
  5. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Shahidi hajajiandaa kuipitia katiba ya chama angalau kwa majukumu yake. Anapingana na vitu vingine kavisema yeye. Mnyika alikuwa complete
  6. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni bora umewawahi hawa watu

    Tanzania hatutafikia hatua ya katiba mpya hivi hivi wakati katiba mpya haiwapi favour wanao enjoy nchi. Lazima tupitie katika tanuru la moto ndiyo nchi itakuja ku stablize kwanza nchi yetu haijawahi pitia misuko suko zaidi ya uchaguzi uliopita. Tulitaka kuruka stages. Hata nchi zilizotulia...
  7. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Wadada tupewe maua yetu!!

    Ni utelezi tu ndiyo mnao special. Hamna kingine cha ziada
  8. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Kwa namna ya mtoa maada. Hata akimaliza kazi ataanza kujishikiza kwenye garage za watu na ataacha kazi!. Naona ni mapito tu ya maisha ajaribu kuangalia kitu atadumu nacho ambacho ataona kina future nzuri hata akianza kidogo.
  9. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    😁😁😁watu mna maneno bwana
  10. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Uzinzi una hasara sana kiuchumi na kiafya hujakosea. Lakini wanaume wengi hata waliofanikiwa ni wazinzi wa kutupwa au mtoa maada unaupima vipi? Uzinzi ambao unaokuangusha kiuchumi hadi unafirisika au kushindwa kupiga hatua ambapo sababu kubwa ni uzinzi pekee basi hata ukiacha huo uzinzi...
  11. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Weekend yako ipo kama ulivyotarajia?🤷‍♀️

    Haijaenda vizuri, hii wekeend imenikuta nipo mweupe. Mwanaume ukiwa huna hela vibe kuja huwa ni ngumu. Ntajipa pole wekeend ijayo
  12. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Hakuna mtu atagonga auwe halafu asimame kwa Tanzania hii, bora wakukimbize wakupate au uwahi polis.
  13. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na Milioni 10 leo, utachagua kufanya nini kati ya shughuli hizi tatu?

    Pharmacy gani hiyo ya 10m mkuu? Hapo angalia passion yako na location ufanye unachokipenda maana ulivyovitaja mtaji huo ni kidogo.
  14. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani ukimuona mtu anasoma chuo unabaki unasikitika?

    Kabisa m,hakuna degree yenye u special tusidanganyane
Back
Top Bottom