Anafundisha namna ya kupata hela? Kuna mwanaume haujui ukweli wa mambo au maisha?
Angechagua tabaka lakini kusema niende nikamsikilize mwanaume mwenzangu ananiambia ukweli? 😁😁😁 huo ukweli hata wazee wa kijiji naweza upata
Mtoa maada! Ni bunge hili hili ndiyo litoe emergecency solution?! 😁😁😁😁.
Bunge siyo mhimili wenye mamlaka tena bali ishakuwa taasisi ya serikali.
Hakitatokea kitu bunge limesema cha kuikosoa serikali haijalishi ni kibaya au kizuri. Wabunge waliopo hapo siyo kwa ajili ya wananchi, wapo kwa ajili...
Kuna jamaa mmoja nlimuona kwenye ndege "bussiness class" kakatia ka mbwa kake kadogo, siyo kwenye tenga wala nini, kakatia seat na kalikuwa kana piga kelelee ile muda ndege inapanda na wakati wa kushuka, kuna namna alikuwa ana ka calm.
Huyu angekuwa msukuma namimi ningemzodoa sjui.
Lakini Mama hajawahi sema kuwa atadeal na mafisadi,yaweza kuwa tunampa lawama ambazo siyo kipaumbele chake.
Mtu akiitwa atoe ushahidi ni wapi alisema atashughulika na mafisadi utasema ni lini?
Vipaumbele vyake mimi sivijui ningevitaja.
Naona haiendani kulinganisha utawala wa nchi kama Germany na wetu. Kwanza kule katiba na sheria yaweza kuwa zilimbeba huyo cansela. Sisi tuna ombwe la katiba tunahitaji kiongozi wa kutumia utashi wake.
Mwendazake anaonekana bora sababu ya aliyemfuatia,kwakweli hafikii hata 1/ 10000 ya uwezo wa...
Mimi naona kuanzishwe Postgraduate diploma ya ufisadi hii nchi yetu ili ufisadi utambulike kisheria.
Inaweza ikatoa almost equal chance ya kila mtu kuwa fisadi angalau 'distribution of ufisadi ' itakuwa almost equal kwenye jamii,angalau katika kila watu 100 wa jamii moja kunakuwa na fisadi...
Kwenye suala la mpira, basi tunasema wewe siyo shabiki wa mpira.
Kwenye mpira huwezi mpenda hasimu wako wa karibu hata siku moja.
Lakini hii chuki huwa haipo kwa watu individual,ni timu kwa ujumla siyo watu wa hiyo timu. Mtu akiwa nje ya majukumu ya kitimu hakuna shida kabisa.
Mtu awe...
Ninachofurahia threads zako juu ya single maza na kataa ndoa ni consistency😁😁😁. Kila ukiandika you've critical supportive points that can provoke a man.
Lakini yote huwezi zichukulia ndoa zote kwa mantiki uliyonayo sababu zipo ndoa ambazo zinakuwa successive. All in all, Ndoa ni betting inaweza...
Kuna BBT ya mifugo nakumbuka niliiona mahali,kuna watu wa diploma walienda kunenepesha ng'ombe kwa madai baada ya muda wanatoka na milion 11 kama sikosei.[inakuwa inajumuisha kujifunza kwa vitendo namna inavyofanyika kwa wahitimu baadaye watoke na mitaji]
Kuna mzee mmoja mtoto wake alikuwa...
Lakini mwanaume kamili kufurahia gender nyingine bila kuwazia kulomba ndiyo mambo gani sasa[ sjajumlisha ndugu hapa tafadhali].
Mimi nikisema nafurahia sana uwepo wako,tucheke wote,jinsi ulivyoumbika bila mawazo ya kukutamani ni uongo kwa kweli,tena kwa kila mwanamke? Hapana hii.
Lakini hii...
Sasa kwanini uje ulete principles kwa walio oa? Kufa unaweza uliwa na mchumba ambaye hujamuoa,n.k
Labda ungekuja na publication inayosema mauaji yanayosababishwa na ndoa ni aslimia % ambazo ni nyingi kuliko mauwaji yanayochangiwa na sababu zingine ambazo utaona zinafaa kufananisha nazo,kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.