Recent content by Jitu la-Mtumba

  1. J

    Kichoitwa kikao cha wanaume chini ya nabii feki IPM kinashusha hadhi ya mwanaume

    Anafundisha namna ya kupata hela? Kuna mwanaume haujui ukweli wa mambo au maisha? Angechagua tabaka lakini kusema niende nikamsikilize mwanaume mwenzangu ananiambia ukweli? 😁😁😁 huo ukweli hata wazee wa kijiji naweza upata
  2. J

    Bei mpya za mafuta ni janga, Serikali punguzeni kodi za mafuta Wananchi wapumue

    Mtoa maada! Ni bunge hili hili ndiyo litoe emergecency solution?! 😁😁😁😁. Bunge siyo mhimili wenye mamlaka tena bali ishakuwa taasisi ya serikali. Hakitatokea kitu bunge limesema cha kuikosoa serikali haijalishi ni kibaya au kizuri. Wabunge waliopo hapo siyo kwa ajili ya wananchi, wapo kwa ajili...
  3. J

    Wasukuma hii ni karne ya 21 Tuelimike. Unasafirije na kuku kwenye basi kutoka mkoa huu hadi mkoa mwingine?

    Kuna jamaa mmoja nlimuona kwenye ndege "bussiness class" kakatia ka mbwa kake kadogo, siyo kwenye tenga wala nini, kakatia seat na kalikuwa kana piga kelelee ile muda ndege inapanda na wakati wa kushuka, kuna namna alikuwa ana ka calm. Huyu angekuwa msukuma namimi ningemzodoa sjui.
  4. J

    Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Lakini Mama hajawahi sema kuwa atadeal na mafisadi,yaweza kuwa tunampa lawama ambazo siyo kipaumbele chake. Mtu akiitwa atoe ushahidi ni wapi alisema atashughulika na mafisadi utasema ni lini? Vipaumbele vyake mimi sivijui ningevitaja.
  5. J

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Naona haiendani kulinganisha utawala wa nchi kama Germany na wetu. Kwanza kule katiba na sheria yaweza kuwa zilimbeba huyo cansela. Sisi tuna ombwe la katiba tunahitaji kiongozi wa kutumia utashi wake. Mwendazake anaonekana bora sababu ya aliyemfuatia,kwakweli hafikii hata 1/ 10000 ya uwezo wa...
  6. J

    Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Mimi naona kuanzishwe Postgraduate diploma ya ufisadi hii nchi yetu ili ufisadi utambulike kisheria. Inaweza ikatoa almost equal chance ya kila mtu kuwa fisadi angalau 'distribution of ufisadi ' itakuwa almost equal kwenye jamii,angalau katika kila watu 100 wa jamii moja kunakuwa na fisadi...
  7. J

    Je, ni lazima Ukiipenda Yanga uichukie Simba?

    Kwenye suala la mpira, basi tunasema wewe siyo shabiki wa mpira. Kwenye mpira huwezi mpenda hasimu wako wa karibu hata siku moja. Lakini hii chuki huwa haipo kwa watu individual,ni timu kwa ujumla siyo watu wa hiyo timu. Mtu akiwa nje ya majukumu ya kitimu hakuna shida kabisa. Mtu awe...
  8. J

    Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Ninachofurahia threads zako juu ya single maza na kataa ndoa ni consistency😁😁😁. Kila ukiandika you've critical supportive points that can provoke a man. Lakini yote huwezi zichukulia ndoa zote kwa mantiki uliyonayo sababu zipo ndoa ambazo zinakuwa successive. All in all, Ndoa ni betting inaweza...
  9. J

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Hebu tusaidie kabla sijaenda kukopa 10M ya kurudisha ndani ya miaka 7😎
  10. J

    H-Pylori ni hatari sana. Kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka

    Ukitekeleza hayo H. Pylori atajiondokea mwenyewe? Maana anamaanisha yupo kwa evidence ya vipimo
  11. J

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Kuna BBT ya mifugo nakumbuka niliiona mahali,kuna watu wa diploma walienda kunenepesha ng'ombe kwa madai baada ya muda wanatoka na milion 11 kama sikosei.[inakuwa inajumuisha kujifunza kwa vitendo namna inavyofanyika kwa wahitimu baadaye watoke na mitaji] Kuna mzee mmoja mtoto wake alikuwa...
  12. J

    Wanawake wamekuwa sehemu ya hamasa ya maisha kwangu

    Ndiyo ni mimi. Huwa sina mifano ya watu wengine eti "kuna wengine wapo hivi au kuna jamaa🚮🚮" na mtoa maada naye kanyooka ksjiongelea yeye safi,
  13. J

    Baadhi ya Samaki wa kukaanga mtaani wanakuwa na funza

    Yamekukuta! Badala ya samaki aelee wewe ndiyo umeelea 😁😁
  14. J

    Wanawake wamekuwa sehemu ya hamasa ya maisha kwangu

    Lakini mwanaume kamili kufurahia gender nyingine bila kuwazia kulomba ndiyo mambo gani sasa[ sjajumlisha ndugu hapa tafadhali]. Mimi nikisema nafurahia sana uwepo wako,tucheke wote,jinsi ulivyoumbika bila mawazo ya kukutamani ni uongo kwa kweli,tena kwa kila mwanamke? Hapana hii. Lakini hii...
  15. J

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Sasa kwanini uje ulete principles kwa walio oa? Kufa unaweza uliwa na mchumba ambaye hujamuoa,n.k Labda ungekuja na publication inayosema mauaji yanayosababishwa na ndoa ni aslimia % ambazo ni nyingi kuliko mauwaji yanayochangiwa na sababu zingine ambazo utaona zinafaa kufananisha nazo,kama...
Back
Top Bottom