Recent content by Jitu la-Mtumba

  1. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Hakuna mtu atagonga auwe halafu asimame kwa Tanzania hii, bora wakukimbize wakupate au uwahi polis.
  2. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na 10m Leo, utachagua kufanya nini kati ya hivi? Kufungua pharmacy AU duka la hardware AU kununua kiwanja? Kipi bora?

    Pharmacy gani hiyo ya 10m mkuu? Hapo angalia passion yako na location ufanye unachokipenda maana ulivyovitaja mtaji huo ni kidogo.
  3. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani ukimuona mtu anasoma chuo unabaki unasikitika?

    Kabisa m,hakuna degree yenye u special tusidanganyane
  4. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mzazi usimchagulia mtoto masomo

    Wazazi pia huwa wana hype kipaji cha mtoto tofauti na uhalisia. Pia peer pressure itavyomuathiri mtoto hasa akiwa na uhuru advance inaweza athiri matokeo yake. Kuna namna ushauri wa wazazi kukuambia kasome kitu fulani muda mwingine huwa washaona gap upande huo na kuna watu nishawashuhudia...
  5. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Tupia ngoma zako mbili tatu hapa
  6. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Walemavu tena😁😁😁, size ya nchi ukilinganisha na resources inaweza isiwe kikwazo sana, angalia nchi ndogo kama Burundi bado wana maisha magumu tu nao. Point ya Walemavu 200 nakubaliana nayo
  7. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Point yako ni nini hapa chief?
  8. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Nami nlikuwa na plan ya kuanza na bajaji ambayo nitaitoa kwa mkataba kwa mtu/ hesabu za siku kwa Dar es Salaam. Sijawahi fanya,lakini nishawahi kufanya ya pikipiki miaka ya nyuma mkoani Mbeya, nlimpa dereva jamaa wa heshima tu na familia. Haikuenda vizuri, lakini tukaja fikishana polisi mara...
  9. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amewazoesha vibaya sana huu msemo huu wa kijinga CHADEMA na imewakaa kichwani

    Serikali huwa hairatibu kila kitu, lakini inaweza chukua advantages ya hayo matukio ambayo siyo yote. Naamini inafurahia sana matukio yanayochukua attentions za watu wengi. Wewe unadhani kama wakipita mtandaoni waone watu wako bize na kujadili katiba mpya, chuki dhidi ya serikali unadhani...
  10. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Huo mfano umetolea ni watu wachache sana,ni sawa wana mafanikio makubwa kuliko wengine lakini ni wachache mno. Chukulia watu tajiri kwa Tanzania, au nchi yeyote ile matajiri 100/ 20 tu angalia historia yao wametoka mazingira gani. Baada ya hapo angalia tabaka jingine la kati kati uone kati ya...
  11. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Sawa lakini nani aliyeuwa watu kwa sentensi moja? Kwenye uchunguzi unaofanyika hakuna phrase inayoingiza hilo swala,yanachunguzwa mengine kama wafadhili, waliofanya lakini kwa aliyeuwa ndiyo wanachora mstari
  12. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amewazoesha vibaya sana huu msemo huu wa kijinga CHADEMA na imewakaa kichwani

    Siyo kwamba kila tukio la ajabu linaanzishwa na kupewa priorities kuzima mambo muhimu ya kisiasa. Jambo la ajabu likionekana kuchukua popularity watu wa system wanayaongezea miles ili kuwasahaurisha watu mambo ya kujadili masuala ya kisiasa ambayo ni mzigo kwao. Kingine raia wanapata hofu/...
  13. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Hakuna mtu aliyesema nini kifanyike. Mwamposa hawezi wamudu kuwalisha,malazi,nauli kwa watu wote wale, na akifanya hivyo navyowajua wa Tz watajazana mamilioni hapo. Hawezi wakataza pia kwenda(unamfukuzaje mteja?), na serikali haiwezi ingilia kati sababu ni mtu wao wa karibu. Lakini kwanini...
  14. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Sjamaliza yote ila mazingira yana aslimia 80% ya mtu kufanikiwa. Mtu aliyetoka mazingira ya pesa ana aslimia nyingi ya kufanikiwa. Siyo kwamba wanaotoka mazingira magumu hawafanikiwi, ila ni wachache.
  15. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Nchi ikikombolewa tutamlomba
Back
Top Bottom