Nimeziona hii post Leo baada ya miaka mingi kupitia..I wish ningeiona zaman nisingejiunga...Mimi nimekuwa muhanga wa Hawa washenzi naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kujiondoa anisaidie
Nimewaza kama wewe...kama ka familia kadogo tu ka Chadema kamewashinda kuongoza wataweza kuliongoza taifa kweli??? Na mbowe anaonekana ni mroho na mlafi wa madaraka inaonekana wazi hata akipewa nchi anaweza geuka Museveni au Kagame
huwa wako vizuri sana Ekenywa...mdogo wang alisumbuliwa na usikivu hafifu ila alipewa tiba na mpaka sa iv yuko vzuri kabsa na imepita karbu miaka 20 sasa
Habarini ndugu zangu.
Naomba ushauri wenu kwenye hili.
Mimi ni kijana wa Kitanzania, nimefanya kazi kwenye shirika flani la watu Binafsi kwa miaka kadhaa..na sasa nimepata kazi serikalini.
Naomba ushauri jinsi ya kupata pesa zangu za NSSF hatua gani nachukua na pia nazipataje zote kwa pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.