Recent content by jishike

  1. jishike

    Ahsante serikal kwa ajira za walimu 2014.

    Mwalimu mwenzangu huyu ananiaibisha,nina wasiwasi huko shuleni wanafunzi atawasaidiaje!!!
  2. jishike

    Madai ya Serikali kufilisika na yanayoendelea ndani ya Wizara ya Fedha!

    kwa bahati mbaya tu mambo haya yamekuwa bayana,lakini mchezo huu miaka yote unafanyika hasa kutokana na umuhimu wake.Ni vizuri kwa viongozi kujifunza na kujua wenzetu wanafanya nini.Jambo la kujiuliza ni kwamba ziara kama hizi zinafanyika karibu kila mwaka lakini mbona ufanisi hatuuoni?Kila...
  3. jishike

    Zaidi ya 280Kg za heroin zakamatwa na meli za kivita za Canada mwambao wa Tanzania

    nchi hii ukiifikiria sana utakuwa mwendawazimu,maana yake kila kona uozo,huku wanachukua,huku wanabeba kwa visingizio kemkem
  4. jishike

    Wadada, kwa nini mambo haya yameshamiri siku hizi?

    lakini haya mambo tumewazoesha wenyewe,ukimtenda mwanamke mmoja unawafunza wanawake wengine kumi
  5. jishike

    Nimempenda msichana FaceBook

    hiyo ndio faida tunayopata kutokana na teknolojia ya habari
  6. jishike

    Ungekuwa ni wewe mdada ungefanyeje.

    :a s 27::a s 27::a s 27:
  7. jishike

    Kiupele {jipu} sehemu ya siri

    jamani waalikeni wadau wengine na waambiwe kuwa ukitaka kuishi maisha marefu ni lazima wajiunge jamii forum,kwa kweli nacheka,nafarijika na hata kuondoa strss zote kila nikiwa jamii forum.Hongereni wadau wote na Mungu awajalie afya njema
  8. jishike

    Kuna mkaka kanivutia humu MMU

    Moyo wenyewe unasema,lakini kama umependea mali ujue umekosea,mchukue huyo wa mwanzo kwani huyo wa pili ni kwa kuwa ni mpya kwako na binadamu hupenda kuvutika na vitu vipya.Au mpe kama anahitaji na kisha pata muda utajua nani anakufaa
  9. jishike

    Wivu Sina Ila Roho Inauma..; Houseboy Anachukua Kila Housegirl Tunayemleta Nyumbani

    Huwa unawaza nini ,manake kama wewe huna nia nae kwa nini unachukia.Mimi niliwahi pia kumsema kijana ambaye naye alikuwa na tabia kama hiyo ya kutembea na wasichana tunaowalete watusaidie malezi ya mtoto lakini ikanibidi nimwite mbele ya kakake na kumsema lakini wenyewe nao wanapenda sasa...
  10. jishike

    Only for only forsearious girl in England,moyo mpweke

    lisije kuwa changa la macho,tega watanasa tu
  11. jishike

    Tunakaribia Kuuona Muungano wa Vyama Vya Siasa (Upinzani)

    kwa hakika tunahitaji kuwa na upinzani wenye nguvu,kwa nini tusijifunze kutoka kwa wenzetu kutoka nchi jirani? wapinzani kwa hakika wapunguze maslahi binafsi na kuimba mageuzi wakati hawana dhamira ya kweli.Tumepuuza kuwa UMOJA NI NGUVU
  12. jishike

    nahisi naibiwa

    Binadamu hachungwi kama ng'ombe ukishaona dalili hizo ujue keshapata mjuzi mwingine ukizingatia kuwa mko mikoa tofauti hivyo kila mtu kujiona huru kufanya jambo lolote bila woga.kwa bahati mbaya zaidi ni wapenzi tu
  13. jishike

    Pigo,-nmeachwa na mademu zangu wote wa 4 ndan ya wiki.

    Angalia usije ukampa namba za makahaba wa mjini
  14. jishike

    Pigo,-nmeachwa na mademu zangu wote wa 4 ndan ya wiki.

    Itabidi hata humu forum ufukuzwe maana unaonesha mfano mbaya hasa kipindi hiki ambacho tunahangaika kupunguza maambukizi ya ukimwi
  15. jishike

    Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

    :A S-confused1::A S-confused1: KWA WANAWAKE JE.KUNA UBAYA WAKIUNGURUMA?MIMI NAFIKIRI SULUHISHO NI KWAMBA HUYO MTU WAKO AZOEE AONE NI SAWA NA MATATIZO MENGINE YA BINADAMU. aNAYEKUPENDA KWA DHATI HATAONA SHIDA
Back
Top Bottom