Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Ushauri wako nimeupenda nitaamua hivo.
amua hivyo sasa mwanaume si nduguyo atii!!
Ushauri wako nimeupenda nitaamua hivo.
twende PM....GENDER zitafahmika huko SHOSTI..
Bado Mungu hahusiki ...!!!!!!
Eiyer ni sawa kwenye uzinzi lkn bora hajaitoa,kwan mtt hana kosaa azaliwe tu,kwani kosa lishatendeka hakuna jinsi na naamin kama ametubu ashasamehewa
twende PM....GENDER zitafahmika huko SHOSTI..
Uliiweka mwenyewe?mimba yangu peke yangu
twende PM....GENDER zitafahmika huko SHOSTI..
Ningekuwa mie nngelea mimba yangu peke yangu na nikishajifungua naendelea kumlea na kumtunza mwanangu peke yangu, halafu huyo mwanaume ole wake ajilete!
unataka kunipa mistari...
Uliiweka mwenyewe?
Ungeweza?
"Nlikuwepo":bolt:
RED:1. hatuwaammini, mnakuwa na wengimbona mkiambiwa mnamimba za watu mnaruka ft 100?
Ukiikataa ni yangu, ukinisogelea utaoga mate walah!
Bado Mungu hahusiki ...!!!!!!