Recent content by jirani27

  1. jirani27

    Almanusura nipigwe kwa kushika makalio ya mke wa mtu kwenye mwendokasi

    sio kukuokota tuu,,sema unapaa na unadondokea ukutan ukiwa umejikunjakunja
  2. jirani27

    Baba mwenye nyumba na kondom zangu

    Nenda kadai ndom zako aiseee...ni muhim sana hio ni business aisee, ukimkosa mke wake hata mtoto ake wa kike mdai tuu
  3. jirani27

    Nawaona sasa tecno wamejirekebisha, toleo la Tecno spark K7 ni tishio lingine kutoka kwao

    Bos technology ua 3g kwa this year of 2017 ndio wamejirekebisha?
  4. jirani27

    Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

    Nimependa utanguliz wako hasa hapo mwishon
  5. jirani27

    Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

    Please mwenye link ya treasury bill atupie hapa basi
  6. jirani27

    Siri za wafanyabiashara

    Imenitokea jana, nimeandaa mzigo jamaa kaja na lugha nyingi mwisho wa siku kanikatisha kabisa tamaa, ila bado napigana na nitafanikiwa tuu,,,,according to napelion..the word imposible found only in a dictionary of fool,,, i will make t
  7. jirani27

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    Jaribu hata kutafta kipeperush za nbaa usome ndugu yangu, utagundua kitu hata kma sio fani yako
  8. jirani27

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    Hahahahaaa, eti final stage,,,mara ya mwisho ishu za nbaa umefatilia lini? Na uliposkia ishu za final stage nbaa uliskia unatakiwa uwe na sifa gan kufanya final stage? Jitahid uwe unafatilia mambo japo kidogo kujua sifa na jinsi nbaa inavoenda kimitihani
  9. jirani27

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    Kumbe upo kwa madem? Mimi nimesoma hapo nmemaliza 2009, na sijawah hangaika na kaz na sehem nlizopitia kma nne, washaniita zaid ya mara mbili kufanya training kwa staff wao ktk accounts na organization nyingine jumatat ijayo na kaz nao. Kinachonisikitisha siku zote ni kuona hizo orgs ni kubwa...
  10. jirani27

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    Ni kweli walikuwa wakishika nafasi za juu lakin walikuwa wazembe sana
  11. jirani27

    Mh. Rais kuwa makini na ziara nyingi za kuelekea kanda ya ziwa

    Siku akienda mkoa wowote wa kusini, nitahitaj kifaham atakachoenda kukifanya huko
  12. jirani27

    Tido Mhando ni kada wa CCM?

    But y should i discussing this matter with u? Nadhan naanza kupoteza uwezo wangu wa kufikir, i gave u 20%, hizo 80% tafta mwenyewe ujue y nimecheka.
Back
Top Bottom