Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

Mm sifanyi accounting and finance lakini hata NBAA wanawakubari sana wanafunzi wa IFM na UDSM kwa kufanya final stage CPA........Na huwa nasikia syllabus ya hivyo vyuo hazitofautiani sana na NBAA katika maswala ya accounting.
Hahahahaaa, eti final stage,,,mara ya mwisho ishu za nbaa umefatilia lini? Na uliposkia ishu za final stage nbaa uliskia unatakiwa uwe na sifa gan kufanya final stage?
Jitahid uwe unafatilia mambo japo kidogo kujua sifa na jinsi nbaa inavoenda kimitihani
 
Hahahahaaa, eti final stage,,,mara ya mwisho ishu za nbaa umefatilia lini? Na uliposkia ishu za final stage nbaa uliskia unatakiwa uwe na sifa gan kufanya final stage?
Jitahid uwe unafatilia mambo japo kidogo kujua sifa na jinsi nbaa inavoenda kimitihani


Unatakiwa uwe na shahada ya kwanza ya uhasibu.
 
Unatakiwa uwe na shahada ya kwanza ya uhasibu.
Jaribu hata kutafta kipeperush za nbaa usome ndugu yangu, utagundua kitu hata kma sio fani yako
Hahahahaaa, eti final stage,,,mara ya mwisho ishu za nbaa umefatilia lini? Na uliposkia ishu za final stage nbaa uliskia unatakiwa uwe na sifa gan kufanya final stage?
Jitahid uwe unafatilia mambo japo kidogo kujua sifa na jinsi nbaa inavoenda kimitihani
 
Wanabodi hii inauma sana na inasikitisha , tokea miaka ya nyuma kila unapoitwa kwenye interview wakiwa wanataka watu wawili au watatu katika fani ya Banking and finance, corporate finance managers, accounting, ukakuta umeenda interview na wahitimu wa ama IFM au UDSM uwezekano wako kupata ni Mdogo

Sisi wa vyuo vingine kama TIA, IAA, SAUTI , STEMUCO, NA VINGINE Tunabaguliwa na ndo maana tunajadiri suala Ili, ukiangalia hakuna jambo lolote wanalotuzid SAA nyingine hata GPA tunawazidi lakin ninashangaa wanakuwa selected tunabaki

Hii nimeigundua na wenzangu, nimeudhulia interviews nyingi na huwa ni kawaida nikimaliza nachukua namba za nilioenda nao interviews jaman ukiwapigia akikwambia nimeitwa nauliza hivi umesoma wapi utasikia UDSM au IFM, nina zaidi ya watu 20 niliowauliza watano tu ndo mmoja alitoka UDOM, wawili SAUTI, na mwingine MZUMBE, lakin waliobaki ni IFM UDSM, yaan tunaumia sana kwa ili rais aliangalie pia

Taasisi zinazowapendelea yaan ukienda utadhan wako shuleni sasa wamehamishwa wanasoma masters kabda kumbe ni kazini yaan taasisi hizi ni ifuatavyo
TANZANIA POSTAL BANK
TRA
TPA
TPDC SECTION OF FINANCE
EQUITY BANK duh hapa ndo wamejaa kote utadhani wamehamishwa darasa
TTCL ,
Vision fund
NBC
NMB
CRDB
DTB

yaan hata wa diploma wanachukuliwa sisi wa degree zetu tunabaki
JAMAN NASISI WWNGINE TUPO MTUANGALIE MAANA MNAPENDELEA SANA VYUO HIVYO UPANDE WA FINANCE NA SIJAJUA VYUO VINGINE KAMA SUA, ARDHI , IRDP, MAANA HAO SIJAWAHI KUTANA NAO KWA INTERVIEW,
Pia najua wapo watakaonibeza na kupinga bila kufanya tafiti fanyeni tafiti ndo muone yaan ni kero sana imenifanya niwachukie hata wanafunzi wa vyuo hivyo maana nao misifa
ivi ile list ya vyuo vinavyozalisha vilaza ikoje?
 
Ukiongelea teku yenye wanafunzi 10 au 5 wa fani izo za biashara alafu ukiwalinganisha ifm au udsm wanao toa wanafunzi zaidi 600 kwa fani izo utakua ujawatendea haki ni kuwaonea kudharirisha jina la chuo husika, ata kwnye soko la ajira pia wako wachache na kwa uchache wao pia ajira sio tatizo sana nadhani uchache unawasaidia....
Ukitaka kuifahamu teku BEM hao ndio wamechukua nafsi zenu huko hawa Jamaa wako vizuri si utani. ukienda kufanya interview yako ukajikuta upo watu BEM basi ukeshe siku iyo.
Usifanye mchezo kupambana Mtu mahesabu
Afu ulisoma kwa kuriri acc yako lazma atakuacha tu ukizingatia vigezo va kuapply iyo kazi anavyo
 
Ukiondoa competence. Ya mwanafunzi kuna suala la mitaala.mitaala imetengenezwa kukidhi malengo ya taasisi au wizara iloanzisha chuo husika.hivyo chuo kilichoanzishwa na wizara ya fedha kina asilimia ya utofauti wa vionjo na chuo kilichoanzishwa na wizara ya viwanda na biashara japo kozi ni ya aina moja.
Mwajiri anaangalia anahitaji mtu wa namna gani ukiondoa vitu general je mtaala wake una kipi cha ziada.pia mwajiri mwingine anaangalia historia km alipata best staff from institute of accounts hata sita kuwapendelea kuchukua tena kutoka taasisi hiyo.
Wachache wanafuata historia ya chuo km kikonge au cha juzi.
 
Ukiondoa competence. Ya mwanafunzi kuna suala la mitaala.mitaala imetengenezwa kukidhi malengo ya taasisi au wizara iloanzisha chuo husika.hivyo chuo kilichoanzishwa na wizara ya fedha kina asilimia ya utofauti wa vionjo na chuo kilichoanzishwa na wizara ya viwanda na biashara japo kozi ni ya aina moja.
Mwajiri anaangalia anahitaji mtu wa namna gani ukiondoa vitu general je mtaala wake una kipi cha ziada.pia mwajiri mwingine anaangalia historia km alipata best staff from institute of accounts hata sita kuwapendelea kuchukua tena kutoka taasisi hiyo.
Wachache wanafuata historia ya chuo km kikonge au cha juzi.
Kweli
 
upo sahihi ila huwezi ku-ignore the fact that GPA ni kivutio kizuri kwa mwajiri, ndio FIRST IMPRESSION, hayo mengine ni personal qualities mtu anatakiwa awe nazo..
Mkuu mbona umekazana sana na GPA?
Kwa mwajiri makini hawez kuangalia saaana GPA ktk ulimwengu huu wa karne ya 21 iliyojaa ujanja ujanja mwingi.
Mfano niliwahi hudhuria workshop ya kampuni ya SBL, wanasema wao hata mtu uwe na gpa ya 2.2 lkn ukawa upo vizur hasa ktk confidence,creativity,na the way unaface challenges watakazokupa,utaqualify kbsa kweny kampun yao.
wangapi umesoma nao chuo na wana GPA nzur kbsa lkn hata ww ukiwapima unawaona bado kbsa?
Alafu usipende kufanya comparison ya gpa kwa wanafunz wa vyuo tofauti kisha ukasema mweny gpa kubwa ndo yupo vzr mana hujui mode of assessment ktk vyuo vyao ipo vip regardless wamesoma kozi moja
 
Mie na marafiki wenzangu watano tuhitimu wa mwaka jana chuo cha cbe tuna first class ila kwenye interview kuitwa imekua ni Bahati na hata tukiitwa naona chuo cha cbe kimekuwa hakipewi uzito kama ilivyo kwa vyuo kama, ifm, iaa cha Arusha, tua, udsm, n.k. unakuta vyuo tajwa hata second lower anapata mchongo Sie kwenye first class tunabaniwa... Kuna mini hapa?
 
Ukiongelea teku yenye wanafunzi 10 au 5 wa fani izo za biashara alafu ukiwalinganisha ifm au udsm wanao toa wanafunzi zaidi 600 kwa fani izo utakua ujawatendea haki ni kuwaonea kudharirisha jina la chuo husika, ata kwnye soko la ajira pia wako wachache na kwa uchache wao pia ajira sio tatizo sana nadhani uchache unawasaidia....
Ukitaka kuifahamu teku BEM hao ndio wamechukua nafsi zenu huko hawa Jamaa wako vizuri si utani. ukienda kufanya interview yako ukajikuta upo watu BEM basi ukeshe siku iyo.
Usifanye mchezo kupambana Mtu mahesabu
Afu ulisoma kwa kuriri acc yako lazma atakuacha tu ukizingatia vigezo va kuapply iyo kazi anavyo
Teku ndio chuo gani.....cha kata au
 
Mie na marafiki wenzangu watano tuhitimu wa mwaka jana chuo cha cbe tuna first class ila kwenye interview kuitwa imekua ni Bahati na hata tukiitwa naona chuo cha cbe kimekuwa hakipewi uzito kama ilivyo kwa vyuo kama, ifm, iaa cha Arusha, tua, udsm, n.k. unakuta vyuo tajwa hata second lower anapata mchongo Sie kwenye first class tunabaniwa... Kuna mini hapa?
.....teh hee hee.,dogo hapo hakuna mini wala gauni!.,yani "first-class" umeshindwa kuzingatia vifupisho vya majina ya vyuo vyatakiwa kuandikwa kwa herufi kubwa.
...chagua chuo mnyonge wako upooze moyo!
.mada ishajadiliwa na imefungwa!
 
Acha ulalamishii ktk maswala ya bizness IFM iko vyema sna,UDSM cwez izungumzia cz ndo baba lao nchini,umesahau kutaja CBE maana nao wanapata sna kazi ni sababu ya ubora walonao ktk biashara
hakuna 'mbuzi' anaeifikia CBE kwa biashara,watoto wa pale wanapiga kazi bwana,acha tu,kule UDSM kuna mabingwa wa kukariri,kichwani hamna kitu,ndio wanaovaa suti ndani ya 35c ya joto la dar
 
Ushauri tu!
Msiache kujifunza Kila siku! Hata kama una miaka kadhaa unatafuta kazi bila mafanikio endelea kujifunza na kutafuta kujishehenesha maarifa! Yaani uwe na ufahamu wa mambo!
 
Back
Top Bottom