Recent content by Jini Kisiranii

  1. Jini Kisiranii

    PreGE2025 Polisi wafika Ofisi za ACT Wazalendo kumkamata Janeth Rithe kwa agizo la ZCO

    Alichokiongea huyu mama nliogopa na kutetemeka
  2. Jini Kisiranii

    Je, inawezekana kuhama diploma under NACTVET kwenda TCU?

    Haiwezekani ndo jibu sahihi. Labdakajisajili upya
  3. Jini Kisiranii

    TANZIA Mfanyakazi wa CRDB afariki akifanya mazoezi Daraja la Tanzanite

    Mazoezi salama kwa kila.mtu kwa rika zote ni kutembea tu
  4. Jini Kisiranii

    Mpaka sasa wataalam tisa wa nyuklia Iran wameuawa, watamaliwa wote

    Iran haifadhili ugaidi, usa ndo mfadhili mkuu wa ugaidi kalibu dunia nzima
  5. Jini Kisiranii

    Marekani yaanza kusogeza madude yake ishara ya kusudi la kuizamisha Iran

    Popote pale anapoingia usa huwa lazima aache maumivu
  6. Jini Kisiranii

    Tukio hili siwezi msahau mchumba wangu Aisha. Aliyemwoa atalaaniwa kabisa

    Hivi mm mbona huwa sisikii hii raha mnayoisemaga kuwa kutia raha. Au nakutana na wabovu. Maana mm hata namwaga huwa akili yangu ipo yote kabosa
  7. Jini Kisiranii

    WanaCCM hebu semeni mnapingana na CHADEMA kwa kitu gani haswa?

    Hakuna mwenye nafasi ya kuhwngaika na chama ambacho kimejifia cdm ndo wanapqmbana na ccm
  8. Jini Kisiranii

    Serikali ipige marufuku magari haya kuingizwa nchini

    Vijana wa hovyo kama wewe hawatakiwi kuishi
  9. Jini Kisiranii

    Ukweli, uwazi humuweka mtu huru

    Ki msingi dar es salaam maisha ni ya taabu mno, nimishi dar almost miaka 30 tona npipokuwa mdogo nikahama sababi ya ajira, kwa sasa ninachokitamani dar ni hela tu ila maisha ya dar ni stress tupu. Hasa mobility na joto. Kama hauna gari da ni shida, ukiwa na gari bado nishida coz kuna watu...
  10. Jini Kisiranii

    PreGE2025 No reforms, no election itakuwa kama UKAWA tu!

    Hii itakufa kifo cha mende jan haifiki, kuna cuf ilikuwa tishio kuliko chadema walikuja na kitu ngunguli ila walipozwa wakatulia ka maji. Chafema imebebwa na ccm vizuri sana kaatika uongozi wa mbowe, kqja huyu mshamba kaharibu kila kitu. Alivyoingia tu nliandika hapa hapa kwa account yangu...
  11. Jini Kisiranii

    Tundu Lissu sio mtu kawaida

    Haka kajamaahuwa naona kama kakichaa flani kwa mambo yake. Nasikia ni ka lasy born labdado maana kanapenda kuzirazirs. Nikupe siri lisu bila wazungu hana lolote
  12. Jini Kisiranii

    Siku nikisema nihadithie mikasa iliyonipata kwenye mapenzi members wote wa jf mtabubujikwa na machozi

    Saiz hata ukiww mrembo kama malaika ukizingua tu naondoka na kesho yake hata jina nimekusahau. Na sihudumii tena mwqnamke asiyenihudumia mimi. Sio kwa ngono maana naezaipata popote nikitaka, bali unisafishie nyumba, unizalie, unifulie and unipikie nitakupa kila kitu
  13. Jini Kisiranii

    Siku nikisema nihadithie mikasa iliyonipata kwenye mapenzi members wote wa jf mtabubujikwa na machozi

    Mwenyewe wanawake nishawashiba. Nishasomesha mara 3 ila wa mwisho ndo akanifanya niwe komandoo wa mapenzi. Wa kwanza nlimsomesha tu veta, nikaenda masomoni nje ya nchi nikakuta wahuni wameshamiliki na mpaka napanda ndege kurudi tulikuwa vizuri tu kumbe too late, nikqtemana nae, wa 2 naye...
  14. Jini Kisiranii

    Rais Ruto: Majirani zetu kutoka Tanzania, kama tumewakosea kwa namna yoyote ile, Mtusamehe

    Ameomba msamaha wewe unaanza kujadili mawazo yake, wewe sio mungu
Back
Top Bottom