Ki msingi dar es salaam maisha ni ya taabu mno, nimishi dar almost miaka 30 tona npipokuwa mdogo nikahama sababi ya ajira, kwa sasa ninachokitamani dar ni hela tu ila maisha ya dar ni stress tupu. Hasa mobility na joto. Kama hauna gari da ni shida, ukiwa na gari bado nishida coz kuna watu...
Hii itakufa kifo cha mende jan haifiki, kuna cuf ilikuwa tishio kuliko chadema walikuja na kitu ngunguli ila walipozwa wakatulia ka maji.
Chafema imebebwa na ccm vizuri sana kaatika uongozi wa mbowe, kqja huyu mshamba kaharibu kila kitu. Alivyoingia tu nliandika hapa hapa kwa account yangu...
Haka kajamaahuwa naona kama kakichaa flani kwa mambo yake. Nasikia ni ka lasy born labdado maana kanapenda kuzirazirs.
Nikupe siri lisu bila wazungu hana lolote
Saiz hata ukiww mrembo kama malaika ukizingua tu naondoka na kesho yake hata jina nimekusahau. Na sihudumii tena mwqnamke asiyenihudumia mimi. Sio kwa ngono maana naezaipata popote nikitaka, bali unisafishie nyumba, unizalie, unifulie and unipikie nitakupa kila kitu
Mwenyewe wanawake nishawashiba. Nishasomesha mara 3 ila wa mwisho ndo akanifanya niwe komandoo wa mapenzi. Wa kwanza nlimsomesha tu veta, nikaenda masomoni nje ya nchi nikakuta wahuni wameshamiliki na mpaka napanda ndege kurudi tulikuwa vizuri tu kumbe too late, nikqtemana nae, wa 2 naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.