Ukweli, uwazi humuweka mtu huru

Ukweli, uwazi humuweka mtu huru

Sasa jirani ndo uanze kumpa apake ili wateja wamiminike wajue una vipodozi genuine ambavyo vinaweza kumsaidia mtu aliyeungua na cream na kubabuka na mikorogo..!! 😹😹😹
Wakamtibu kwanza walikomuunguza,.Hatuna mda wa majaribio sisi
 
Ki msingi dar es salaam maisha ni ya taabu mno, nimishi dar almost miaka 30 tona npipokuwa mdogo nikahama sababi ya ajira, kwa sasa ninachokitamani dar ni hela tu ila maisha ya dar ni stress tupu. Hasa mobility na joto. Kama hauna gari da ni shida, ukiwa na gari bado nishida coz kuna watu wanapaki magari pale magufuli wanachukua dart kila siku
 
You bubuno too much....unajichoresha bibie.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja mie nienjoy zangu hapa na mishangazi..
tapatalk_-680844525.jpg
 
Shikamooni wakubwa wote wa JamiiForums

Leo ni siku nzuri kabisa ya jumatatu ikiwa inaishia,poleni na majukumu ya hapa na pale,Mimi binafsi nimechoka na hekaheka za daladala haswa baada ya kujikuta nimesimama kutoka kariakoo kibaruani kwangu hadi nyumbani Kinyerezi.

Leo kuna Jambo niulize kuhusu watu wa humu na style zao, Kwanza wengi wanaonekana wasomi ,maana ukibishana kidogo basi anakimbilia kiingereza, kiukweli hapa wananikomesha ,lakini pia kila mtu humu ni ana uwezo Kwa namna fulani.

Mana nikisoma baadhi ya Mada naona wengi wamepangq nyumba siyo chumba,au wanamiliki nyumba na magari,lakini pia wana simu za gharama

sasa swali langu ina maana humu hakuna tunaofanana hali na mimi?

au miye bado mdogo na elimu yangu ya form four kwakuwa sina kazi yenye kipato cha maana?

Mimi naishi local life na kwetu ni uswahilini hapa tu natumia simu ya kawaida sana.

Natamani maisha mazuri mno ila naogopa kurisk maisha na kukufuru .

Karibuni
Harafu 99% humu mko Dar!!!
 
UNataka maisha mazuri halafu unaogopa kurisk, uchumi umeukalia tu.
 
Back
Top Bottom