Recent content by Jimy elioth

  1. Jimy elioth

    Makonda Ulichofanya kwa wale Watoto Hakikubaliki Kisheria

    Kwa uwezo wangu mdogo wa kuelewa nadhani wale waliokuwa wanachukua picha ndio walipaswa kuwafunika sura wale watoto. Sababu nimoja ya maadili yao ya kazi.
  2. Jimy elioth

    Kesi ya akina Masanja, nini Polisi wasichojua kuhusu sanaa na sinema?

    Kwa kawaida ukitaka kuvaa sare za polis au Jeshi lazima uombe kibali . Wakikuruhusu ndio unazivaa. Vinginevyo zaidi ya hapo watakuchukulia hatua za kisheria kama utakua huna kibali.
  3. Jimy elioth

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Trey ya mayai unauzaje mkuu
  4. Jimy elioth

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Kebrol wakoje mkuu. Sifa zake nikimaanisha.
  5. Jimy elioth

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Mpaka wawe wakubwa ndio wanapewa.
  6. Jimy elioth

    Koffi Olomide akamatwa na polisi, tayari kurudishwa kwao

    Niaibu kwa mtu kama yeye kufanya shambulio kama lile hadharani.
  7. Jimy elioth

    Si kila nyama choma ni ile ujuayo

    Hata dar. Watu tulikula sana wanyama ambao sio. Mishkaki ya barabarani.
  8. Jimy elioth

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Hawana haja ya kuwalisha mpaka usiku.wapo kama Kuku Wa kienyeji. Chamsingi uwape chanjo na uwe dawa za akiba wanapotokewa na magonjwa kama kuharisha.
  9. Jimy elioth

    Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

    Kama ni kweli bora kujiudhulu mwenyewe kuliko kusubiria kutumbuliwa.
  10. Jimy elioth

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Inategemea anaumwa nini. Ngoja tuwasubiri wataalam watujuze zaidi.
  11. Jimy elioth

    Haikuwa sahihi kwa Magufuli kugawa Maburungutu ya pesa hadharani

    Nijambo la kawaida tu.. Kwanza nikama uhamasishaji ili na wengine wajitolee. Mbona sehem nyingine cash zinatolewa zaidi ya hizo na hakuna tatizo. Au kwasababu ni rais?
  12. Jimy elioth

    Tamko la UKAWA baada ya Naibu Spika kutangaza kukata posho

    Watarudi tu hawana ujanja
Back
Top Bottom