Hawa ndo Kuku wa Malawi

Hawa ndo Kuku wa Malawi

Ili kupangiwa muda ina bidi useme

1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?

NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana

kwa hapa nilipo

Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000

Muda wa order hauzidi siku 22
Shukrani Mkuu kwa hizo data,vipi suppliers wake wako wapi hapa tz??Kuna idadi ya kuku inayotakiwa ili ukiagiza wakuletee??Shukrani Mkuu
 
kuku hawa hawakosi soko popote tz maana kwanza ni wakubwa sana na nyama yao si kama nyama za kuku wengine wa kisasa kitu og
hata usipo wauza wenyewe mayai tu yana kulipa haswaaa maana sifa yao kubwa ni kutaga mayai mengi

kuhusu idadi ya kuagiza ni wewe na kujipanga kwako kuanzia vifaranga 100 hadi 1000

NB:kwa wanao anza wana shauriwa kuanza na idadi ndogo ili wazizoee changamoto kwa vitendo walau hata vifaranga 100
 
kuku hawa hawakosi soko popote tz maana kwanza ni wakubwa sana na nyama yao si kama nyama za kuku wengine wa kisasa kitu og
hata usipo wauza wenyewe mayai tu yana kulipa haswaaa maana sifa yao kubwa ni kutaga mayai mengi

kuhusu idadi ya kuagiza ni wewe na kujipanga kwako kuanzia vifaranga 100 hadi 1000

NB:kwa wanao anza wana shauriwa kuanza na idadi ndogo ili wazizoee changamoto kwa vitendo walau hata vifaranga 100
 
hawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
nami ni pm namaba zako niko karibu na mpakani
 
Ili kupangiwa muda ina bidi useme

1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?

NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana

kwa hapa nilipo

Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000

Muda wa order hauzidi siku 22
Kwani wewe upon wapi???.
 
Ili kupangiwa muda ina bidi useme

1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?

NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana

kwa hapa nilipo

Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000

Muda wa order hauzidi siku 22
Shukrani Mkuu,tafadhari naomba uweke address zao ili iwe rahisi kuweza kuwapata.
 
Wadau kwa anaetaka,nina vifaranga wa wiki 8 machotara nawauza buku 5 kila mmoja,wapo 20,kaa anaetaka nipm.
 
Jamani hivi kanda ya ziwa naweza kuwapata wapi
 
Best breed ever,utagaji wao ni non stop
 

Attachments

  • 1469300049311.jpg
    1469300049311.jpg
    116.4 KB · Views: 217
Utagaji wao ni kati ya 75 to 90 percent kama unawalisha vizuri
 

Attachments

  • 1469300127021.jpg
    1469300127021.jpg
    89.6 KB · Views: 136
Jitahid uwachanje kaba hawajafikisha mwezi lasivyo utaingia hasara
 
Hawa ndo wana mayai km ya kienyeji kwa nje ila unjano wa kiini chake ni hafifu?
 
Back
Top Bottom