Eti umemuona Lingard tangu ukiwa mdogo na sasa ana miaka 30+???...🤣🤣...sasa uzee na miaka hiyo wapi na wapi???kama ulimwona Lingard ukiwa bado mdogo basi wewe ni below twenti.
This is a dumb shit idea ever,huna maisha unataka kuoa ili huyo mke ndiyo akuletee maisha?Tafuta maisha kwanza hiyo ndiyo nyenzo kuu kuliko kuoa kwanza,na hizi mbanga za kulinganisha mafanikio/ndoa na umri ndiyo zinawaua na depression na kuishia shimo la hewa.,ndoa siyo dhumuni kuu la wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.