Hiyo post ya simba kupigwa 9 nimeiona,kwa great thinker sidhani kama ni sahihi kuandaa uzi kuhusu hayo matokeo kwasababu ni kushusha ukubwa wa JF au lah basi ungeupeleka uzi huu kwenye jukwaa la vichekesho.
Hebu jiulize
1. 1938 kulikuwa na ligi kuu tz?maana ile post imeandikwa TPL yani Tanzania...
Habari ya saa hizi brothers and sisters, ni matumaini ya mtima wangu kuwa nyote ni wa buheri wa afya...
Ama baada ya salamu, wapendwa nina shida yangu.... Huwa napendelea sana kuangalia series hasa za kimexico na Venezuela, na mara nyingi huwa kuna ambazo niliangaliaga zamani ITV na Star tv...
Wingi wa mataji kuanzia ligi,copa de ,super cup,eufa,nk
Kama ilivyo tanzania,yanga kamzidi simba kombe la ligi tuu,ila kwa ujumla wa vikombe vyote,simba kamzidi yanga,tena saaaana tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.