Yaani wakati mwingine polisi wetu wanakosa ustaarabu.
Huwezi kumuita mtu mchochezi kwa kusema ukweli. Nadhani this is a very great mistake of all time.
Bonyeza open (Iliyo mkono wa kulia)
Angalia page unayotaka kufanyia kazi kutoka kwenye folder la site yako au kwenye server ifungue. Mie natumia computer yangu kama server na nikisha pamaliza kufanya kazi napandisha pages zilizofanyiwa matengenezo kwa kutumia FTP
Woow ingia kazini
Huwezi kumwombea mtu amani ya milele akishakufa. Huo ni kama usanii tu.
Hapa naomba faraja kwa wafiwa.
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha kuondokewa ndugu yao.
Wacha tu waendelee kuikata nchi vipande vipande na hivyo vipande vipande vinakuwa vua kikabila na hivyo vipande vipande ni kurahisisha kupewa vyeo washikaji wao.
Watu wamekenua meno tu hata wasomi wetu. Unaweza kushangaa kama nchi hii ina wasomi.
Suala la OIC subirini hadi mwisho wa miaka ya 2015 hapo nina hakika litajirudia. Kwa sasa liko likizo ya lazima maana bado twahitaji ushindi wa kishindo. Historia itaandika.
Umesahau kusema ukweli au umekwepa kusema ukweli makusudi tu. Kama BAWATA ingeachiwa kufanya kazi yake leo tusingekuwa na kitu ile wanaita UWT(ile ya SISI M.) ingeshakufa na kuzikwa na wanawake wote wangekuwa kitu kimoja si kama wanavyoishi kwa hawa opportunist wanajiita UWT wakati ni wake wa...
Icadon nimepata wazo kwamba kwa nini kwenye tangazo hilo usiweke maandishi kuwa jamii forums inapokea matangazo(Adverts) na ku host web? maana nadhani jamii forums inahitaji matangazo mengi kuwa hosted hapa kwa ajili ya ustawi wake.
Mtandao huu unatembelewa na maelfu ya watu kwa siku na hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.