Habari za wakati huu wakuu, kwa wakubwa zangu shikamooni na wadogo zangu mambo vipi.
Baada ya miaka minne ya kukomaa shamba na kuambulia mabua, sasa naona ni muda muafaka wa mimi kujaribu bahati yangu kwenye gurudumu hili la utumishi kama wengine walivyojaribu.
Nimekuja mbele yenu kuomba...
Naomba kuuliza pia wanafunzi wanatakiwa kwenda na vitu gani au kuandaa vitu vipi mana kwenye tangazo lao hawajaonesha wameweka tarehe tu basi ya kwenda na je kunauwezekano wa kubadili kambi?
Mkuu kwangu attachment ya barua inagoma inasema imeshindwa due to low capacity/ memory asa cjajua Nini shida nimejaribu kui compress barua nako bado yazingua msaada apo shida Ni nn
Sababu kubwa ni kutokua na elimu ya ujasiliamali wengi tunatoka masomoni na mentality ya kuajiriwa then tukifika kitaa Mambo yanakua ndivyo sivyo na hii inapelekea kujaribu biashara mbalimbali lakini nazo wengi wetu tunaanguka kwa kukosa Ile elimu ya ujasiliamali
Tanzania eeh nchi yangu[emoji28][emoji28] yaani madirector wa kipengele cha video Bora ya mwaka hawapo kwenye kipengele cha video director of the year.
Pua......pua....pua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.