Recent content by Jim007 2

  1. Jim007 2

    Msaada mwanangu kaanza kutoa meno chonge hii inamaanisha nini?

    Atakua ana mutate na kua Vampire....njoo inbox nikupe dawa
  2. Jim007 2

    Nimekutana na bikra kwa mara ya kwanza, simuachi

    Watu wanaozifaidi hizo ni walimu hasa wa sekondari hao ndio wanatuharibia wake zetu
  3. Jim007 2

    Dr. Shika awashika wanavyuo

    Safi vijana mmeiva Kifyatu
  4. Jim007 2

    Kwa tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa

    Maamaaeee lazima walikuzibua mtaro wako wa choo
  5. Jim007 2

    Msaada kushushwa cheo kwa tuhuma za siasa

    Mleta uzi acha kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe....jitathimini acha ushabiki wa vyama ofisini na mtaani we are watching you....subiri Lowasa akiwa rais ndio uonyeshe mapenzi yako.....na usipobadilika tutakuondoa kabisa maana unahatarisha utekelezaji wa ilani....BADILIKA
  6. Jim007 2

    Nijuzeni teknolojia ya ulinzi wa duka au eneo lako la biashara

    Okay funga movement sensors ambazo unaziwasha baada ya kufunga duka....umaweza kuziwekea na siren(king'ora) ama ukazifanya zikawa zinawasiliana na wewe moja kwa moja kupitia simu ya mkononi
  7. Jim007 2

    Mi mshamba wa mapenzi, hizi style nyingine hapana, wacha anitangaze vibaya tu

    Hili lijamaa litakua li shoga litangaza biashara kiaina "mbona huko nyuma kusafi tu" matangazo ya biashara at work
  8. Jim007 2

    Yuko wapi Lizaboni, Chiss Lukosi, Mussa Allan.

    Mi nna taarifa za baadhi 1. Tuanze na Mussa Allan huyu alikua ni mnazi na shabiki mkuu wa fisadi EL baada ya Lowasa kuhamia Chadema kwa aibu Mussa Allan akabadili ID na kujiita Msalani ili aendelee kumsapoti EL huko alikohamia. 2. Faiza Foxy kaamua kukaa tu kimya sababu huyu rais aliyeko...
  9. Jim007 2

    Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

    Clouds hawaku calculate vizuri vita vyao....kwa nchi zetu hizi ili ustawi vizuri unahitaji "a good chemistry" na viongozi wa kisiasa. Kila jambo na majira yake....haya si majira yao wakubali hilo na kulay low kwasasa
  10. Jim007 2

    Ili kumaliza utata tunahitaji Ngumi za Live kati ya Ruge Mutahaba na Francis Siza

    Kwani nini maana ya hiyo misemo??....sisi WANAUME WA MIKOANI hatuelewagi mipasho
  11. Jim007 2

    ONYO: Maeneo wanakojiuzulu madiwani wa CHADEMA, kina fulani hawataambulia hata asilimia 30 ya kura

    Chadema ni muhimu mkakumbuka ya kwamba Arusha yote sio ngome yenu mfano kwa uchache kata za Murriet,Terrat na Ungalimited ni ngome za CCM....na kwa jinsi mlivyogawanyika na kua frustrated mtavurugwa sana....trust me uchaguzi mdogo huu mnapigwa..
  12. Jim007 2

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wewe ni kuku mdogo sana kujua move za Ikulu...by the way Magufuli is the president mpaka 2025......hiyo picha haina maana yoyote pia nikukumbushe Ngariba haogopi mkojo...
  13. Jim007 2

    Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

    Mkuu mbona ile ID yako ya Pasko umeisusa toka ile siku tuliyopewa maana ya Mayalla na mkulu pale nyumba nyeupe??
Back
Top Bottom