Recent content by jikwete

  1. jikwete

    "Kuishi na Corona" kunavyopotoshwa Tanzania

    Wewe na Ndugu zako wote mtasubiri sana. Na kwa taarifa yako jumapili tunapiga shangwee. Wewe kama unaona huwezi kaaa nyumbani. #lockdown your self Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jikwete

    NI MIMI TUU NIPO HIVI AU KWA WANAUME WOTE NDIO HIVI??

    Pole sana mjamaaaa. Cha msingi jaribu kujikieep bize tu endapo utahisi jambo hiloo kwa kujaribu kucheza game kwenye cm yako Nk. Ila ikishindikana kabisa oa
  3. jikwete

    Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

    Wewe mi pia hunichapi walah.. Dadek nitatembezaa mawe hapo mpka watakaa sawa dadaki. Huwezi niletea ufirauni mimi
  4. jikwete

    Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

    Thibitishaa kama kweli ni ya zamani
  5. jikwete

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Wimbo mbaya... Kataja majina mwanzo mwisho.. Bila wema hatoki.. Sent from my Linux ubuntu mobile
  6. jikwete

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Mzee ile ni vevo account huwezi fanya janja janja kama account yako binafsi japokuwa zote ziko utube Sent from my Linux ubuntu mobile
  7. jikwete

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Ha ha ha unajua jinsi vevo inavyofanya kazi? Sent from my Linux ubuntu mobile
  8. jikwete

    SHABIKI AWACHA UKWELI #MTVBASEASFRCA

    baada ya leo mchana kupost picha ya wimbo wa diamond na kutopost wimbo wa alikiba.. Na baadae kupost mpambano wa ngumi ya TMT Sent from my Linux ubuntu mobile
  9. jikwete

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Ngoma mpya ya alikiba yavunja record kwa kufika 1M viewers kwa saa 38. Sent from my Linux ubuntu mobile
  10. jikwete

    Je, wajua? - Special Thread

    JE wajua alikiba ndo msanii pekee ambae anachangiwa na watu sabaa kwenye game ya bongo flavor Sent from my Linux ubuntu mobile
  11. jikwete

    Historia fupi ya deni la Stirling Civil Engineering Ltd

    Ubabe wa kisenge tu Sent from my Linux ubuntu mobile
  12. jikwete

    Tundu lisu

    Joke of the day!! Mimi Charles Francis kuanzia leo sitaki kuwa shahidi katika kesi yoyote ambayo Tundu Lissu ana shtakiwa. Yaani kwa kifupi hata nikiombwa vipi kuwa shahidi against this man, sitaki. Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiniulize sababu... Kama ukitaka kujua...
Back
Top Bottom