Wewe na Ndugu zako wote mtasubiri sana. Na kwa taarifa yako jumapili tunapiga shangwee. Wewe kama unaona huwezi kaaa nyumbani. #lockdown your self
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mjamaaaa. Cha msingi jaribu kujikieep bize tu endapo utahisi jambo hiloo kwa kujaribu kucheza game kwenye cm yako Nk. Ila ikishindikana kabisa oa
baada ya leo mchana kupost picha ya wimbo wa diamond na kutopost wimbo wa alikiba.. Na baadae kupost mpambano wa ngumi ya TMT
Sent from my Linux ubuntu mobile
Joke of the day!!
Mimi Charles Francis kuanzia leo sitaki kuwa shahidi katika kesi yoyote ambayo Tundu Lissu ana shtakiwa. Yaani kwa kifupi hata nikiombwa vipi kuwa shahidi against this man, sitaki. Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiniulize sababu... Kama ukitaka kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.