dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,954
- 9,474
Fafanua hapo kwenye KushindaDuh Kuna Tatizo la Muingiliano wa Kazi Idara ya Upepelezi kuna vitu vinakosewa sana either hawajui Sheria au Elimu dot com unaionaje?
Wapelelezi wadogo wanayumbishwa na Mabosi wao na wao wanatambua kabisa makosa yapo ila jeshi ni Amri hapo ndipo utata so Mahakamani lazima uchemshe...
Ndio Maana Masamaki yuo Huru Japo nasikia kila siku anashinda Takukuru Kuna viyoyozi lakini analowa Jasho.. Takukuru kumbe sio pa Mchezo mchezo...
Takukuru
Sent using Jamii Forums mobile app