Recent content by Jiah

  1. J

    Baada ya matokeo ya Igunga, CUF itoe tamko rasmi kwa wanachama wake

    swala sio wabunge walionao,,point ni kuwa:CUF ile ya 1995;2000;2005 sio sawa na hii ya leo kwani haiko pinzani kwa chama tawala kama awali,inashuka umaarufu na pia namba ya viti bungeni inapungua kila kukicha. Ili kukinusuru chama,,ni lazima kufanyike mageuzi makubwa kwenye uongozi wake,,sisemi...
  2. J

    Dada zangu huu ni ustaarabu?

    Hii ni pointi ya msingi preta,,nguo za ndani ni moja ya sababu za fangasi kwa wake,,kama unavyojua mazingira yao ni rahisi kupata viambukizi,hivyo nguo za ndani yabidi zipate mwanga zikauke vzr kwa wakati,,utamaduni tu hauruhusu ila better zikianikwa juani.HAPPY NEW YEAR
  3. J

    Unajuaje wazazi wa Yesu walikuwa wachaga?

    safi kaka,tunapashwa kutolitaja bure jina la Bwana Mungu wetu..
  4. J

    A good answer to an impossible question.....

    sio hajalala nao,,yaan analala tu akiwa na mke wake wengine hapati mda wakulala yaan ni full kukimbizana mpaka kunakucha kwa hiyo mke wake hamna kitu.
  5. J

    How fast can you guess these words?

    Books tu nilipatia,,mengine sikuwa mbali na lugha mbaya,,,yaan nilihamia upande ambao dini inapinga.
  6. J

    New Year Jokes

    Nimezikubali zote!
  7. J

    Bangi haram

    Yaan Zayat we ndo kheri ya hao wafuta bange!hapo ulikuwa zero kabisa
  8. J

    Padre na Sista!

    Duuuuh hizi zote kali,,mbona watawa mnawanyanyasa sana?
  9. J

    Hi, am a new member!

    Ndg zangu,,mi mgeni humu ndani ya JF naomba twende pamoja nisije kupotea.siku njema
Back
Top Bottom