Unajuaje wazazi wa Yesu walikuwa wachaga?

Maega

Senior Member
Jul 10, 2010
156
30
Swali: Unajuaje wazazi wa Yesu walikuwa wachaga? Jibu: "Siku zile ikatoka amri toka kwa Kaisari Augusti, kwamba watu wote wakajiandikishe makwao, na Yosefu na Maria wakatoka ili wakaandikishwe na watu wa kwao".
 
Swali: Unajuaje wazazi wa Yesu walikuwa wachaga? Jibu: "Siku zile ikatoka amri toka kwa Kaisari Augusti, kwamba watu wote wakajiandikishe makwao, na Yosefu na Maria wakatoka ili wakaandikishwe na watu wa kwao".
jaribu kuwa na adabu
 
Ni kweli hawa watu Dec. lazima wapande kwao kwenda kuandikishwa/kuhesabiwa. Ila Yesu si Mchaga bali Myahudi aliyekuja kwa ajili ya ulimwengu mzima.
 
We show our love to God by honoring and obeying Him. We should respect and worship Him to the greatest of our abilities. One of the most important ways to respect God is found in the Third Commandment. The Third Commandment concerns the sanctity of God's name. We are commanded by God to honor and respect His name: "You shall not take the name of the Lord your God in vain; for the Lord will not hold him guiltless who takes His name in vain" (Exodus 20:7). "Vain" means empty, useless, false, unreal, and worthless. In short, taking God's name in vain refers to the abuse, misuse, blasphemy, cursing, or manipulation of the Lord's name.
 
Swali: Unajuaje wazazi wa Yesu walikuwa wachaga? Jibu: "Siku zile ikatoka amri toka kwa Kaisari Augusti, kwamba watu wote wakajiandikishe makwao, na Yosefu na Maria wakatoka ili wakaandikishwe na watu wa kwao".




Sawa tumekusikia,na wazazi wa Muhamadi walikuwa kabila gani? Wakwere ?
 
We show our love to God by honoring and obeying Him. We should respect and worship Him to the greatest of our abilities. One of the most important ways to respect God is found in the Third Commandment. The Third Commandment concerns the sanctity of God’s name. We are commanded by God to honor and respect His name: "You shall not take the name of the Lord your God in vain; for the Lord will not hold him guiltless who takes His name in vain" (Exodus 20:7). "Vain" means empty, useless, false, unreal, and worthless. In short, taking God’s name in vain refers to the abuse, misuse, blasphemy, cursing, or manipulation of the Lord’s name.

safi kaka,tunapashwa kutolitaja bure jina la Bwana Mungu wetu..
 
crap



crap



Haya na wewe unayesema crap nikuulize tu,unaona raha sana hakimu wa ulimwengu anavyotolewa mifano ya kijinga namna hii,hivi kitabu chako unachoamini kinakufundisha kuwa ni nani atakayekuja kuhukumu wazima na wafu,ukinijibu swali hili kwa usahihi naweza kuendelea kujadiliana nawe lakini ukishindwa basi wewe ndio utakuwa crap na wala sio mawazo yako.
 
haaa usije ukauwa pakaM maana naona maneno yako yanionyesha sura yako jinsi ulivyokasirika,,,,,
Haya na wewe unayesema crap nikuulize tu,unaona raha sana hakimu wa ulimwengu anavyotolewa mifano ya kijinga namna hii,hivi kitabu chako unachoamini kinakufundisha kuwa ni nani atakayekuja kuhukumu wazima na wafu,ukinijibu swali hili kwa usahihi naweza kuendelea kujadiliana nawe lakini ukishindwa basi wewe ndio utakuwa crap na wala sio mawazo yako.
 
Back
Top Bottom