kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? Je huu ni huugwana
Mie sioni kama ni kitu cha ajabu. Mbona dukani zipo, na tunajua kuwa mtu kavaa nguo ya ndani. Ni kitu ambacho hatuja zoea na tumejenga mawazo mabaya. Mtu akiona nguo ya ndani ya mwanamke anasisimka, kulikoni??. Kama huoni aibu anika nje kabisa na watu waone hakuna tatizo na wala si kinyume cha maadili. Ila katika jamii ya kitanzania ,sio ustarabu kuanika,kuweka peupe hizo nguo nyeti.
zinatakiwa zipate upepo.....zikifichwa sana hazitakauka...mwisho zitaleta fungus
tatizo nini mkuu? Mbona hata machinga wanazitembeza huwa huzioni?
acha izo m2 angu mi ninachosema utakuta binti ameninginiza hizo nguo kila upande ndio maana nikauliza kwani wanaoingia ndani ni wa rika tofauti ata heshima iwepo basi.
Ndio, ni uungwana! Utajuaje kama amezifua?kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
Sioni Tatizo labda zikiwa chafu tu ndio zisining'nizwe ! Chupi ni kama nguo nyingine tu sema ndio hivyo! Je wewe wale wanao weka Bafuni ambapo kila mtu anaziona tusemaje?
Katika jamii gani ni ustaarabu kuanika, kuweka peupeni?
mbona madukani zinatundikwa hadharani, tena machinga wanapitisha mitaani huku wameshika mikononi, kwani nini cha ajabu? Mi naona ni nguo kama yingine tu, ubaya kama umekuta chafu imetundikwa, ambapo hata nguo ya kawaida ukikuta kwa mtu ni chafu unaweza sema yule fulani ni mchafu. (nimesema tu ila sio dada)kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
SIO TABIA NZURI KUANIKA NDANI. WEKA NJE, NDIO MAANA HATUFUI AU TUNAVAA ZILIZO CHAKAA. NI KITU CHA KAWAIDA. KWANI NANI HAJUI KUWA UMEVAA CHUPI.