hv kitu gani kinachanganya hapo?! we kama umemluv jilie vyako uximuonee haya na kama humtaki dawa ni kumchana live kuwa aondoke kabla hujamtell jamaa yako
cdhani kama kuna umuhim xana cz cc tulivy ripot mwk jana hatukua na joining instruction wala result slip, tulichofanya ni kwnda na mahitaji ya lazima kwnz mfn ada unajua kabixa km ni 70000 kuna godoro, maxhuka,ndoo,jembe,nk wewe tangulia thn utaulixa michango mingine bei ipoje cz ni ming balaa...
naombeni msaada wenu wa mawazo wakuu... kipindi nikiwa o level nilipenda xana kuja kusoma cbg nikiwa advance then nije kusoma cz ya pharmacy hapo baadae nikiw chuo cha kusikitisha baada ya post kutoka mwaka 2014 nikapangwa hgl though nlikua vizur kwny combination ya cbg, sasa tatizo langu ni...
sio vzur hata kidogo kumpenda m2 kupitia simu mfano mm mwnyew nshakua na mpenz hivyhivy na tulipendana sanaaa... cku nimekutana nae ckutegemea kabixa yan mfupiii, mweusiii, ana makengeza. mpaka leo sitaki hata mazoea nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.