Mnazipendea tecno kwa sababu ni bei chee... lakini ubora wake ni zero.
Kwa sasa tekno ambayo nitaweza kuipenda ni tecno l 9 kwa sababu inakaa na chaji muda mrefu.
Labda tecno wa kufikiria ni flagship zitakazoanza kutoka mwaka huu kwa sababu tacno imewekwa gsm arena now it means wako levo za...
Hapo itabidi nivitafute sasa nije na hitimisho hapa.
Kuhusu kukinzana sidhani kwani vimeandikwa chini ya muongozo wa MUNGU na sidhani kama yupo wa kukosoa kukosoa kazi MUNGU.
Pengine unataka uniambie havijawekwa kwa sababu vinakinzana na vitabu vilivyopo mimi ninakataa kwa sababu havijaandikwa...
Nilikua na type kazi kwenye Ubuntu ghafla file likawa corrupted sahivi halifunguki kabisa.
Nimechange kuwa docx lakini wapi sijafua dafu pamoja na kufungulia kwa window OS.
Nisaidieni powerful way ya kurecover hi kazi kwani ni muhimu mno.
Hakika mkuu shukrani sana.
Paramount chief mariale alikua na wazo zuri sna hapa kuwaunganisha watanganyika wote pamoja pamoja na kusaidia machifu wenzake wa sehemu tajwa.
Tukisoma historia ya mkoa wa Kilimanjaro tunaona kuna kabila maarufu sana la wachaga ambalo kimsingi lilikua na tawala mbali mbali za kichaga kila chifu na eneo lake.
Machifu hao waliitwa mangi.
Mangi maarufu ni mangi rindi na mamngi meli wa old moshi, mangi sina wa rombo, mangi horombo wa keni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.