nina furaha na familia yangu..wanangu kike na kiume nawapenda sana..wa kike wawili na kiume wawili..
Blanca(mata hari)
Bianca(Siera Maestra)
Milton (Da vinci)
Ian(Tesla)
watoto ni watoto tu na ninawapenda sana...kikubwa ni malezi ya wazaz..na kwa mwanaume ambae hajui ni kwamba mtoto wa...
wanafaidika siku zote..mleta mada kayatetea sana magenerator na mashine za nafaka..ndo nikauliza mbona huko nyuma hawakulalamika au ewura wanahusoka pia na hizo mashine!?....ain hii ya ulipaji ni mzuro swma tu labda hiyo tsh 40ipunguzwe....
wanafaidika siku zote..mleta mada kayatetea sana magenerator na mashine za nafaka..ndo nikauliza mbona huko nyuma hawakulalamika au ewura wanahusoka pia na hizo mashine!?....ain hii ya ulipaji ni mzuro swma tu labda hiyo tsh 40ipunguzwe....
mbona ewura tunawalipa kwa kila lita na hujalalamika..hizo mashine na generator ewura wanahusoka naz???!!...huu mfumo ni mzuri kwa nchi nyingi sana na uko poa tu...achen mawazo ya kimaskini...
hili jambo linafanywa na watu wenye weledi wa kutosha na wana malengo yao..kuna kitu huko ndan serikalini na watu wanalipiza kisas ili ujumbe ufike kwa wakubwa..
habar
nawatafuta ndugu zangu hao hapo juu..hawa ni wadogo zangu tumeshare baba. baba yetu anaitwa Godwel Mking'i kwa sasa ni marehem.kwa mujibu wa taarifa toka kwa mama,baada ya kuzaliwa mimi baba na mama hawakuishi pamoja..nikiwa na miaka Miaka 10 tulihama tanzania na kwenda denimark...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.