Nyerere kwenye moja ya hotuba yake alishawahi kusema kuwa alimwachia aliesema ameiweka tanzania mfukoni baada kuwasiliana na bishop Makarius lakini haikuwahi kutokea majadiliano yenye muafaka kati wa masheikh na nyerere.
Haya maneno yananikumbusha uzalilishwaji wa masheikh wetu kama Sheikh Nurdin Hussein na Sheikh Mohamed Nasoro wa Zanzibar.Sheikh Nurdin Hussein na familia yake walitolewa Lindi na kuhamishiwa Muheza,Tanga kwa mabavu chini ya maagizo ya Nyerere.Katika maeneo yaliyokuwa na uislam au kuonyesha...
Nina maswali matatu kwa Dr Slaa
Tuhuma za kukopa pesa za chama kwa matumizi binafsi yako zina ukweli wowote?
Una mpango wa kugombea urais mwaka 2015? je chama kikikupa ridhaa uko tayari kuipeperusha bendera ya CHADEMA?
Lini, unategemea kustaafu siasa na kupisha vijana kushika hatamu za uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.