So interesting. Kwa matendo na maneno yake, tena mengine yanayotokana na kukirinkwake mbele ya vikao kuwa amechukua rushwa kutoka CCM, Matata hana uhalali wowote wa kumzungumzia hata Katibu wa Tawi wa CHADEMA anayesimamia misingi, imani, falsafa na itikadi za chama hasa kwa kutanguliza mbele Katiba, kanuni, maadili, miongozo, taratibu na itifaki za chama.
He will be nobody soon. Kumzungumzia Dkt. Slaa kwenye hoja yoyote ambayo ameianzisha mwanaCCM au mwanaCHADEMA anayefanya kazi za CCM kama tunavyowashuhudia wengi humu, tena hoja yenyewe ya kutunga kwa sababu tu wanamuona Dkt. Slaa kuwa tishio no. 1 pale magogoni, ni kumpatia credit za bure msemaji.