Wakati mwingine muwage mnatakari hizo shibe mzonazo c wote wanazo Yen unapopoma tu .unajua izo sukari na chumvi alikuwa anazipataje na unayajua maumivu ya kuwekeza mda akili pesa saikolojia juu ya jambo kama hilo?
Mkuu SHIMBA YA BUYENZE shukran sana kwa msaada wako wa kututemea madini but ningeomba unisaidie PDF za masomo ya A LEVEL Kam HKL kwan natarajia kurudi Dasani japo ntasoma kama private au kwa yeyote alonazo hasa zinazofundishwa kwenye mashule ya private
Mkuu kwema ? Ase nimepitwa na kitu muhimu sana ktk hizo training uzokuwa ukitoa ndo kwanza nafungua Jf nakutana na habali hii na nikicheki mda ushaniacha tafazari naomba nisaidie hata kw njia ya watsap 0687635282
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.