Recent content by jesca.com

  1. jesca.com

    Natafuta kazi ya udereva

    Habarini wadau..nina ndugu yangu ni kaka yangu anatafuta kazi ya udereva leseni yake ina madaraja manne A B D E...
  2. jesca.com

    Afya na mazoezi ya viungo

    kukimbia inategemeana name uwezo wako..waweza anza nusu SAA..baada ya cku au wiki..lisaaa..haraf baada ya mud a..masaa..Mda mzuri wa mazoez niasubuhi.
  3. jesca.com

    natafuta kazi diploma ya generl agricultute

    mimi ni binti wa miaka 23 ninaishi mbeya ni mwezi uliopita tu nimemaliza diploma ya kilimo na mifugo naombeni msaada wa kupata ajira kokote kwenye makampuni..shuleni kufundisha etc #undugu kufaana sio kufanana ASANTENI!
  4. jesca.com

    nimepata idea ya ujasiriamali, naomba muisome...arafu naomba ushauri na mawazo yenu..

    wazo ni zuri kama umeamua jaribu inamaana unaujuzi wa kutosha..kila raheli...changamoto ni kawaida kwa mjasiliamali
  5. jesca.com

    Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

    toka asubuhi hawa wanajeshii wako mitaa makanisani??? kuna nini kwani mbeya huku cjui kwenu vp
  6. jesca.com

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    nimependa wazo lako..kilimo cha mpunga cha lipaa sanaa ila kwa ushaur wangu kama una helaa subir wavunee huwa wanauza bei ndogoo...harafu subiri bei ipande ndio uuze upate faidaaa.....ukilima waweza kuta umekodi umelipa vibaruaa expences nyingiii....harafu ukipata hasara hautatak tena kulima.asante
  7. jesca.com

    Why still hakuna chanjo wala dawa ya Ukimwi mpaka sasa?

    tatizoo kuuwa virus ni ngumuuuuuuuuuu
  8. jesca.com

    chuo cha mifugo peramio

    habari wansjamvii naombeni msaada kwa yeyote mwenye aina yeyote ya mawasiliano kwenye chuo cha mifugo peramioo
  9. jesca.com

    ras simba online

    habari wakuu mimi nipo mkoani ( mbeya) natamani sana jifunza kiingereza lakin kila ukiulizia utajibiwa ras simba! je hatoi masomo onlinee,,,,ili kutusaidia na wa mikoani" Asanteni.
  10. jesca.com

    Picha: Madhara ya kutumia dawa za kujikondesha (Diet Pills)

    kama wataka punguza unene fanya zoeziii fuata diet....utakuwa na shape nzuriii ukitumia vidonge unanyooka kama muwa
  11. jesca.com

    Msaada: Ugonjwa wa Mdudu wa kidole

    pole sana lakini njia nyingne ukiona dalili za mdudu kidoleni tafuta majani ya mchongoma( hina ya majani) yatafunee harafu kamua kudiwe na majimaji bandika kwenye mdudu japo utapa maumiv ila mdudu atatok mwenyew bila kusubir usaha
  12. jesca.com

    Asante Mungu, nimepata ajira

    shukran kw Mungu pia kumbuka ulikotoka
  13. jesca.com

    Wahitimu: Jipange nini ufanye wakati ukisubiri ajira

    asante kwa mawazo yako hapo umesema waliosoma horticulture je wanaosoma generl agricultur
Back
Top Bottom