MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,768
- 5,634
Usimsahau Mungu. Uzoefu unaonyesha watu wengi kabla ya kupata ajira. Walikuwa wakiomba na kufunga. Baada ya kazi wanamsahau mpaji. Take care.
mkuu kweli Mungu ni wa kushukuliwa!umenikumbusha mbali ulivosema ur so bright n una ndgu kibao lakin hawasaidii chochote!inapain sana hii kitu!ila Mungu yupo
Mkuu hapo kwenye red tunashare maumivu, ila tuweke matumaini yote kwa Mungu yeye ndo muweza wa yote.
Hongera sana mtzmweusi.ngoja na si wengine tuangalie upepo wa ppf.jobless hatari.
PPF ile system yao inasumbua sana,
General Manager wakt umemaliza chuo mwaka jana? naamini unatania
Hongera sana ndugu yangu nami naamini Mungu atanijibu kama wewe mda si mrefu.
Wakuu hii inshu ya kuwa jobless isikie tu kwa wengine
Nimehangaika sana yani nilionekana sina thamani ktk jamii nimesoma nina akili nipo very brighy lakini sina kazi yani hakukuwa na tofauti kati ya mm na dogo aliyepata zero 4m 4 maana wote tuko kitaa ila baada ya kuhangaika muda mrefu.
finally sir God kajibu with fire nw nimepata kazi nzuri tu mshahara safi si haba unanitosha kwakwei namshukuru sana sana Mungu pamoja na wazazi wangu kuniombea na kunisapoti wakati wote wa kipindi hicho kigumu.
Watu madhubuti hudumu shida na tabu ni vya muda tu
mshahara wanakulipa tsh. ngapi!?