Sasa hapo ni case kubwa sababu hii ishu ya (elimu ya uraia)ni inabidi ujue kiundani na uelew wabongo kuelewa aaah ila ujuaji mwingi umangu kibwena mm nlkuw sjui marehem raia wa nchi gan ametangulia mbele za hak bas mwenyez mungu ampokee na ss twaja .
Mm kwanza namshrk mwenyez mungu kwa kila kitu maana yeye ni neno na Nuru halisi,twende kwenye swali husika, kwa mtazamo wangu Mimi jambo ambalo linaloniuumiza katika maishani mwangu kwa kipindi kirefu Hadi sasa na litaendelea kuni uumiza ni kutoroka uhalisia sitaongea kwa urefu na mapana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.