lazima ufahamu kuwa DNA inayo husu mtt kuwa na mahusiano na baba its sex related genes ipo kwenye sex chromomes ambapo saxa genes hiz huwa na taarifa za baba mhusika
matukio ya uhalifu mfano wizi wakutumia silaha unahusisha DNa zilizoko kweny chromosome iitwayo. somatic chromosome (autosomes)...
kweli finali uzeeni yan hayo matundu yasingekuwa elastic kuna wanawake wangetengwa na wanaume .saxa uharibifu mkubwa kias hicho ulofanyiwa bado unataka upate kijana mtaratibu asiyena michepuko akuoe daah Wanaume tuna kaz aisee Mungu atusaidiee
Kinachofuata hapo utakuwa mlokole utakutana na...
mi nawashangaa wanawake ukiwatongoza asilimia 90 wanasema ooh nina mtu ukija kwa wanaume asilimia 80 watakwambia wako single saxa hawa wanawake wamebond na nani daaaah
Hilo liko wazi, tusing'ang'anie kusiko tuhusu.
Tatizo ni curriculum ndo inayowachanganya wanafunzi wa biotech.
Jambo la msingi tujue wapi au wizara gani tunapaswa kuwepo na wapi tunastahili kuomba kazi si hospitali.
Huu ni wakati wa kuijenga nchi ,lowassa alituakikishia umma kuwa haki yetu haitapotea ,akatushawishi tujitokeze kwa wingi kupiga ili hata kama wakiiba zingine zibaki,Saxa mbona hazijabakii kama zimeibwa. Mi naona ukawa tulikuwa tunajitekenya na kucheka wenyewe .kuna msemo unasema kama huwezi...
Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wanasua wote kumpata kiongozi tunayemwamin,mtunayempenda ,tuliyempa dhamana ya kuwa rais katika chuo chetu.
Kumbuka sera zako ahadi ulizo wahaidi wanasua pamoja na mabadiliko katika mfumo mzima wa serikali yetu. Ni shukrani zangu za dhati kwako kwa kuweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.