Tarehe 16/11/2014, kuna jamaa (kwa sasa ni marehemu) alikatiza mikumi na pikipiki yake aina ya boxer, yeye alipewa ushauri kuwa akimbie mwendo kasi, akafuata ushauri huo. Alipofika Mikumi darajani, saa 8 mchana, pale kwenye mto, kuna tuta, alipita kwa mwendo.kasi sana, kwa bahati mbaya tuta...