Recent content by jena

  1. J

    Mume anahitajika umri 38-50

    Asante kwa kujibu, dada ameshanipa hii account niendelee nayo
  2. J

    Mume anahitajika umri 38-50

    Nilishakujaga hapa kipindi cha mwaka 2017 na namshukuru Mungu alinipa mume mwema. Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu la kuwalea wote hata kama hawataishi pamoja kama upo serious naomba unijie inbox. Yeye anaumri...
  3. J

    Nataka mke wa kuoa jamani

    Habari yako, Nimefurahi kuona thread yako mimi niko serious sana na hili japo sina uhakika kama umeshapata au bado na mimi ni 34 siyo 35 na pia sina mtoto. Kama tayari umeshapata naomba unijulisha na pia kama bado ningefurahi tufahamiane tuone itakavyokuwa.
  4. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    I'm very sorry na nashukuru kwa kunikosoa: Mimi ninamiaka 32 na ninayemuhitaji awe na umri wa kuanzia 33-43, hayo mengine ni mawazo yako tu na yote nashukuru maana nawewe umechangia.
  5. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Bado sina mtoto, na wala sijawahi kuolewa
  6. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Re: ADVERTISMENT More than serious nahitaji mume wandugu Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM. Mimi ni Mkristo ninayempenda Mungu na...
  7. J

    Blog nzuri

    tunashukuru sana kwa Blog tumeipata, Hope hii itatusaidia.
  8. J

    Suala la kumpata mwenza wa maisha

    Amen, nashukuru sana
  9. J

    Suala la kumpata mwenza wa maisha

    Wana JF nawasilimu wote. Kwanza samahanini maana hii najua haitawahusu wote maana hapa tupo watu wa dini na mitazamo tofauti. Jana nilienda kwenye mkutano wa Mwakasege na nilipata mafundisho mazuri sana kuhusu maombi. Mwalimu alifundisha mambo mengi sana na akagusia swala la kuoa na kuolewa...
  10. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Naendelea kutoa shukrani zangu za dhati kwenu bado nahitaji maombi yenu na Mungu anisaidie nifanikishe
  11. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Asante sana na maombi yako ni muhimu zaidi
  12. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Hapana rafiki ni kuanzia 33 mpk 42
  13. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Jamani wana JF nawashukuru wote kwa ushauri wenu, najisikia vizuri kwamba kuna watu wameelewa kwamba niko serious na wengi wenu mmenishauri vizuri. Nazidi kuwaomba mzidi kuniombea ili niweze kukamilisha hili zoezi na ninauhakika nikifanikisha tu lazima nirudi kutoa shukrani za dhati.
  14. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Natanguliza shukrani za dhati kabisa toka moyoni kwa jinsi mlivyochangia mawazo yenu na ushauri pamoja na kunitia moyo. ninazidi kuwaomba pia mniombee maana hapa napo ni pa gumu kumjua yupi ni yupi na pia kumjua aliye serious. Ninaamini atapatikana tu.
  15. J

    Nahitaji msaada wenu

    Nawashukuru wote mliotoa ushauri nitajitahidi sana kuufanyia kazi. Ila Bado naendelea kusikia toka kwenu.
Back
Top Bottom