More than serious nahitaji mume wandugu

More than serious nahitaji mume wandugu

Uporoto1
Yule binti tatizo inaonyesha wazi hajaridhika na CPU coz ikitokea mu anaomba uchumba au mke basi anakuwa wa kwanza ku-apply
WEWE CPU UTAKUA NA VAIRASI mm EXTERNAL HARD DISK NIPO LIZZY NJOO KWANGU HAHAHAHAHA
 
Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM.
Mimi ni Mkristo ninayempenda Mungu na ninahofu ya Mungu ndani yangu, tayari niko kwenye umri wa kati ya 30-33 na ninahitaji mume wa kati ya 33 na kuendelea. Awe na elimu ya kujitosheleza, mfanyakazi au aliyejiajiri. Kabila lolote Tanzania na pia awe Mkristo. Hili swala naomba tu mchukulie kwangu ni kitu halisi hapa sina utani na wala siko kwa ajili ya kumpotezea mtu muda. Na katika hili pia namshikirisha Mungu nikiamini mume/mke mwema anatoka kwa Bwana. Na pia kwa wale watakao nishauri na kunitia moyo kwenye hili nawashukuru. Kaka zangu popote pale ulipo na unajiona kweli unahitaji mke naomba uni PM lakini kama ni swala la mzaha au kujaribisha naomba usipoteze muda.

Nakutakia kila la heri katika kufanikisha lengo lako la kumpata mwenzio.
 
All the best Jena..usisahau kumuomba Mungu akusaidie kwenye selection process!
 
Muombe mungu nina imani utafanikiwa
 
jamani nashauri itaakuwa vema kama mtu ataweka picha yake hapa. Dada nakutia moyo utafanikisha kama kweli una nia asante!
 
Natanguliza shukrani za dhati kabisa toka moyoni kwa jinsi mlivyochangia mawazo yenu na ushauri pamoja na kunitia moyo. ninazidi kuwaomba pia mniombee maana hapa napo ni pa gumu kumjua yupi ni yupi na pia kumjua aliye serious. Ninaamini atapatikana tu.
 
Hata mimi niliwahi kuja na ombi hapa la kutafuta mke...... sikufich dada yangu nilipata..... na tayari tumemeshajitia pingu za maisha na Mtoto wa kwanza wa kike (Blanca) tumepata.....na sasa tuko wote huku, mimi nabeba mabox na yeye anamalizia chuo...

so usikate tamaa dada yangu

arooooooooooooooo
 
Kida dada mmechangia sana. Nadhan kama mgekuwa wanaume mnge...........................
 
Kigezo kimoja tu kimenishinda sina kazi bado mwanafunzi ila vingine vyote ninavyo.

Je unaweza nifikiria??? Umri nina 35 nilikuwa nafanyakazi nikaacha nikaja kumalizia shule.

Utanifikiria fikiria??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom