Midhali uko tayari kukusolewa, kushauriwa uwe tayari zaidi. Mi si mkristo sitarajii kuku PM. Imenenwa "mpendelee nduguyako lile ambalo unalipenda wewe nafsini mwako". Tafuta contacts za Dr W Slaa (mgombea urais Tz 2010). Huyu anakidhi karibu vigezo vyako vingi na ana shida, Inasemekana amefikia hadi kuazima au kupora wake za watu jinsi alivyo na shida ya mke.
1 Anapenda na ana uwezo wa kukosoa, katika ndoa yenu uta enjoy na hilo, 2 umri wake ni zaidi ya miaka 33. 3 ni Mkristo, ni padri mpenda bwana hata katika Uchaguzi mkuu wakristo wengi waliridhika nae. 4 ana elimu ya kujitosheleza naamini hakusoma shule za Memkwa wala UPE, 5 kajiajiri kisiasa zaidi, posho yake siijui kwa siku ni kiasi gani lakini matanuzi anayo, usishangae posa za awali na pete vinaweza kuletwa kwa helikopta kama kwenu hakuna barabara, wakati wa ndoa yenu mnaweza mkajinunulia gari la kwendea msalani na lingine sokoni n k.
Sikufatilia kabila lake halisi kama ni mtusi au mmasai ila dalili za ubantu na uhutu hana. any way midhali kigezo kwako si tatizo naamini utamtafuta.
Hii isije ikafikirika namfagilia Slaa peke yake ila na wewe pia nataka ukipate unachotafuta