Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi ya kijamaa inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hii imeelezwa katika ibara ya 3 ya Katiba ambayo inasomekana kama ifuatavyo:
3.-(1) Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa...
Jeshi la Polisi nchini lawataka wananchi kutumia tovuti ya https://lormis.tpf.go.tz Kwa ajili ya kupata huduma ya loss report online bila ya kwenda kituoni.
Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro, Tanzania
WIKI hii wakati ndugu zetu waislamu wakiwa katika tafakuri kuu ya Mfungo wa Ramadhani, kwa sisi Wakatoliki Tafakuri ya Pasaka ilishapita. Hata hivyo nimekuwa katika tafakuri binafsi juu ya hoja ya Katibu Mkuu wa CCM, kamaradi Dkt. Bashiru Ally, kuhusu...
Ukeketaji limekuwa janga kubwa katika jamii. Na kila ifikapo February 6, nchi ya Tanzania huungana na mataifa karibu yote ulmwenguni kuadhimisha siku ya kupinga ukeketaji. Historia ya ukeketaji imeendelea kuwa tishio kwa takribani karne 21 sasa. Historia inaonyesha kuwa katika kuthamini kwa kina...
Watu zaidi ya 150 hawajulikani walipo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Kivu, katika mkoa wa Kivu kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. BREAKING: Boti Yazama, Watu 150 Hawajulikani Walipo! Kwa mujibu wa chanzo cha polisi katika eneo la Kalehe miili mitatu...
Hivi ukilipia kitambulisho cha mjasiliamali mdogo kwa biashara unayoifanya utatakiwa upate vitambulisho vingapi ikiwa utafanya biashara zaidi ya moja? Mfano una saloon na una kibanda cha chips.
1. Biashara zikiwa sehemu moja???
2. Biashara zikiwa sehemu Tofauti???
Ila zote zinamilikiwa na mtu mmoja.
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai (Mb) atazungumza na Waandishi wa Habari jambo muhimu kuhusu Bunge, kesho Jumapili tarehe 14 Aprili, 2019, saa sita na nusu mchana, katika Ofisi Ndogo ya Bunge Jijini Dar es Salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua nje iliyochukuliwa na jeshi la polisi baada ya malalamiko ya muda mrefu na wananchi wanaopata taabu kwa kufuata utaratibu wa kupata loss report . Sasa basi kero hii imetatuliwa kwa kutumia njia ya mtandao.
Jeshi la Polisi nchini kupitia kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano...
Watu wenye uhitaji wa miguu hiyo, wametakiwa kufika MOI ndani ya mwezi huu kwa ajili ya vipimo na maelekezo mengine na kwamba ugawaji wa miguu hiyo utafanyika Mei, mwaka huu
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Dk. Respicious Boniface, alitoa wito huo jana na kusema mpango huo ni sehemu ya mkakati wa...
Serikali ya Tanzania imesema iwapo watakubaliana na taasisi mbalimbali wanazotarajia kukutana nazo wiki hii wanaweza kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kuanzia Julai mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Aprili 8, 2019 na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.