Lisemwalo lipo, kama halipo lipo njiani linakuja! Kwani uhuni wa NHIF unaanza leo!
Kuna baadhi ya huduma mnadai mfuko unachangia 75% na mgonjwa anachangia 25% haya mambo hatukuyazoea.
Kuna baadhi ya dawa ukiandikiwa, zikijazwa kwenye mfumo inaonesha hazijasajiliwa wakati mwanzo zilikiwepo.
Na ndio hapo wanapofeli.Matumizi yao makubwa ya fedha inayotokana na michango ya wanachama yapo kwenye management badala ya huduma kwa wanachama wanyonge
Na limeshafika! Juzi nimekwenda hospitali nikaambiwa hiyo namba yako haipo. Nilibaki nashangaa. Kwa vile ilikuwa Jumamosi niligugumia na maradhi yangu hadi Jumatatu nilipopeleka taarifa. Niliumia sana.Lisemwalo lipo, kama halipo lipo njiani linakuja! Kwani uhuni wa NHIF unaanza leo!
Maana ya msemo taarifa hizo siyo rasmi ni kwamba lipo isipokuwa taarifa rasmi itatolewa baadaye.
NHIF ni moja ya unyonyaji kwa watumishi. Kiwango cha 5% kinachokatwa ni kikubwa. Usemalo ni kweli, kituo kinaweza kudai 20m kikaishia kulipwa 12m. Na huwa hawatoi taarifa kunapokuwa na mabadiliko aidha ya bei za dawa au vipimo.Na ndio hapo wanapofeli.
Hospitali zenyewe zinalalamika kuwa zinaweza kutuma madai ya 100mil, mwisho wa siku wakalipwa 50mil, okey hata kama wamegundua shida iko kwa hospitali husika, hizo pesa huwa wanapeleka wapi badala ya kuboreshea huduma.
Hii NHIF shida tupu.
wauni NHIFNa limeshafika! Juzi nimekwenda hospitali nikaambiwa hiyo namba yako haipo. Nilibaki nashangaa. Kwa vile ilikuwa Jumamosi niligugumia na maradhi yangu hadi Jumatatu nilipopeleka taarifa. Niliumia sana.