Keshasahau....hahahaa!akae atulie yeye mwenyewe enzi za ukarai alikua anaanda maandamano anaelewa vizuri tu.
Huyu karai nae anazingua sana! Nasimama na CAG kesho mwendo mdundoMkuu wa wilaya ya Dodoma apiga marufuku maandamano ya aina yoyote yaliyopangwa kufanyika kesho na wanachama wa ACT na washirika wake
Duh..hawaoni watu wanavyowachukia hawa tumbo njaa
Jaribu uone hivyo vikanyagio kama huvipendi. HiiiiiiiiiiiiHuyu karai nae anazingua sana! Nasimama na CAG kesho mwendo mdundo
Msamiat mgumu mkuu,Kuna siku watumaji, wanaowatuma, wanaotumwa, wanaotumikishwa na wanaokandamizwa wataondoka wote na kuviacha viti vyao vitupu na kujikuta eneo moja na kila mmoja atalipwa kulingana na stahili yake!
kuna watakaolia na kusaga meno!
Japo kwa sasa wantumia meno yao kula Visivyolika.