Ndugu wanabodi.
Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel.
Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti.
Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya...
Mtoa mada, Naomba kukuuliza...
Je unaamini katika Biblia? na kwamba Mungu anaongea na sisi kupitia hiyo?
Kama hauamini basi ni halali yako kuhoji kwa namna hiyo.
NB; nimeuliza hayo kutokana na mada zako nyingi zinazohusu dini, Nadhani vitu vingine tutamuuliza Mungu tukifanikiwa kufika huko.
Habarini wakuu.!
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha IFM course ya Bachelor degree of Insurance and Risk Management na nina miaka 27, lakini nimezunguka na bahasha kutafuta kazi bila mafanikio, nia yangu nikufanya kazi yeyote ya halali kwa mwaka mmoja au miwili ili nami nitimize ndoto yangu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.