Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,374
Huwezi kumsaidia Mungu majukumu yake.Mkuuuu hata ww unaamiin hhayupo ila haujui kama hayupo?
Ivyo imani ni bora kuliko kujua.
Mimi siwez kumsaidia Mungu Majukumu Yake ww kamaHuamini uwepo wake huwez kubali Majibu yangu,
Umesemakweli.
Huwezi kumsaidia Mungu majukumuyake, kwa sababu Mungu hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.