JemedariSado
Member
- Oct 20, 2017
- 11
- 15
Habarini wakuu.!
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha IFM course ya Bachelor degree of Insurance and Risk Management na nina miaka 27, lakini nimezunguka na bahasha kutafuta kazi bila mafanikio, nia yangu nikufanya kazi yeyote ya halali kwa mwaka mmoja au miwili ili nami nitimize ndoto yangu ya kujiajiri. Nipo tayari kuitwa mkoa wowote.
Aliye serious namba yangu 0688 527046
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha IFM course ya Bachelor degree of Insurance and Risk Management na nina miaka 27, lakini nimezunguka na bahasha kutafuta kazi bila mafanikio, nia yangu nikufanya kazi yeyote ya halali kwa mwaka mmoja au miwili ili nami nitimize ndoto yangu ya kujiajiri. Nipo tayari kuitwa mkoa wowote.
Aliye serious namba yangu 0688 527046