Recent content by Jembe angu

  1. J

    Seriously...Hivi MAFUTA ya TRANSFORMER Wanayaiba Kwa Ajili Ya Matumizi Gani?!!

    hii noma na mkojo wa mtu utakua dili Tz take care
  2. J

    Binti wa mjomba ananitaka Kimapenzi'

    nakhil huo ni mtego dogo nitafute nikusimulie wangu japo haitofautiani na wako mm na mdogo wa mke wa mjomba na binti wa mjomba mkubwa cheza nae mbali huyo shetani mbaya sana
  3. J

    IRINGA: Vurugu, Machinga na Polisi wapambana

    jamani ccm mwatupeleka wapi mbona ubabe mAskini twende wapi
  4. J

    huwa na serious relationship na waume za watu kuliko bachelors

    hongeraa sana qn; wewe ni ngoma ya kijiji???
  5. J

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

    kuna bike zingine za toa moshi men
  6. J

    Ama kweli Lissu kakomaa kisheria AG ameishiwa pumzi

    Kumbe hata humu{JF} kuna vuvuzela wa CCM[chama cha mafidi] olewenu kama mnashirikiana ipo cku yenu, nakwataarifa zenu hata MUNGU hapendi. CHADEMA tunawaombea mwachambue kwanza hao mafisadi wa ccm
  7. J

    Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

    wachaga mmezidi kwa wingi wa wasomi na wingi wa utajiri ndo mana 2huma zinawafikia poleni na 2zingatie usemi wa "Mwl jk nyerere" bacccccc
  8. J

    Nimfanyeje mwanamke huyu?

    uzuri wa cku hizi raha tupuuu! hadi cku za kufa watu mnazijua sasa ww unajua ameshalala na mume mwingine alafu unamtaka wacliana na ndugu kama ulivyofanya kujitolea kama huku wapa taarifa ndugu zake kuwa unamsomesha imekula kwako huwezimfanya lolote
  9. J

    Waziri Mlugo Philip kujiuzulu ni sawa ila na waalimu wakaguliwe wana vyeti feki wengi

    ww enock unawasiwasi gani au na ww ndo walewale,tulia tu tukaguliwe
  10. J

    Waziri Mlugo Philip kujiuzulu ni sawa ila na waalimu wakaguliwe wana vyeti feki wengi

    Vigogo wengi hawana vyeti original ila hawa wapya kama walimu ndo wakuwakazania vigogo wanastafu bhana Hongera kwa mada yako
  11. J

    naomba kujuzwa

    uchague kunyoa au kusuka wahenga walisema ukimwamsha aliye lala..........
Back
Top Bottom