Recent content by Jeinjei

  1. Jeinjei

    Naombeni msaada wa tiba ya kuongeza damu kwa haraka kwa njia asili

    nimetoka kupima damu jana nina 9.8 gldl, ni kiwango kidogo sana karibia kupata anaemia, nimeshauliwa kula vyakula vya kungeza damu. nafurahi kuona nimegoogle nikaupata uzi huu, shukrani kwa wachangiaji wote, hakika mmetusaidia!
  2. Jeinjei

    Majina mazuri kwa mtoto

    hapo hapo ndipo wabantu hunishangaza. unasema wewe sio wa kabila la wanyakyusa hivyo huwezi ukampa mtoto jina la kinyakyusa! wakati huo huo mfano utakuta wewe ni msukuma ila una jina la kizungu/kiarabu! yupi ni wakumshangaa zaidi? msukuma mwenye jina la kinyakyusa? au msukuma mwenye jina la...
  3. Jeinjei

    Majina mazuri kwa mtoto

    majina ya kizungu na kiarabu waachie wazungu na waarabu, mpatie mtoto wako majina yenye asili yako (kiafrika) sio lazima jina liwe la kabila lako hata kabila lingine, kuna ya kiswahili pia, mbantu kumpatia mtoto wake jina la kizungu/kiarabu (ambalo hajui hata matamshi na maana yake) imekuwa...
  4. Jeinjei

    Naomba kujua vipimo halisi vya kibamia

    ukiwa na kibamia wala usijali sana.. maana swala kuu ni kumlizisha mpenzi wako basi, kama mwanamke anaweza anaweza kulizishwa hata bila ya kuingiliwa na uume! kwanini uumize kichwa na kuwa na kibamia haha, urefu wa uume sio kitu. maana wapo wenye ndefu kama hashimu lakini hawawaridhishi wenzao...
  5. Jeinjei

    Naomba kujua vipimo halisi vya kibamia

    kuna makala nimewahi kuisoma, mtafiti aliyeiandika anadai kwamba wanaume waliowengi ume zao zina urefu wa nchi 5 hadi 5 na nusu (waliowengi), kwahio kama una nchi 6 na kuendelea jua wewe ni superhuman, na chini ya nchi 5 ila si chini ya nchi 3 na nusu, ni kawaida tu (ila uwe umesitiriwa na unene...
  6. Jeinjei

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    You are a medical doctor doctor you are just saying what you were fed, period. wake up do your own researches. to me doctors are nothing but sleeping 'big pharma' agents
  7. Jeinjei

    Baadhi ya wanawake hufanya mapenzi na watoto wao wakiwa wadogo. Ni uchafu wa kukemewa!

    hata mungu wa kwenye biblia kuacha tukio la watoto wa ruthu kufanya mapenzi na baba yao ili uzao uendelee ilikuwa ushetani wa muungu huyo..
  8. Jeinjei

    Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

    Kuolewa sio lazima.. Ila kwa mazingira yetu kibongobongo wanawake wengi hawajishughulishi wenyewe wengi wanategemea neema toka kwa mwanaume (siungi mkono swala hili).. Kwahio kwa kukosa kitu mwanamke anaona ulazima wa yeye kuolewa.. Matokeo yake mwanaume akija na gear ya kuoa tu anakubaliwa...
  9. Jeinjei

    Are there people who control what we know (world population)?

    Are there people who control world information (what we know in the world population) I mean people who control world information, that they choose what to tell us what not to.. And they surely know what we know and what we know not!
  10. Jeinjei

    Who are the real jews?

    Embu Google "who are real jews" kisha ona results
  11. Jeinjei

    Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

    Kweli tupu bro. Religion is the box people fail to think out of.. Mungu hapaswi kuogopwa kama ambavyo dini inaelekeza
  12. Jeinjei

    Who are the real jews?

    Nimejaribu kugoogle angalieni hii website sonsofjacob.com
  13. Jeinjei

    Who are the real jews?

    Kuna source nimeisoma inasema watu wanaotambulika kama wayahudi leo sio Wayahudi na genetics zao zinaendana na za wazungu wa ulaya, hamna tofauti. Sasa je watu gani ni wayahudi halisi
  14. Jeinjei

    Je mtu yeyote anaweza kuwa tour guide?

    Nimetokea kuipenda sana kazi ya tour guiding, sijasoma course yoyote kuhusu hiki kitu ila nina dhamira ya dhati ya kufanya kazi hii. Naombeni mwongozo wenu kwa mnaoifahamu kazi hii vizuri...
Back
Top Bottom