nimetoka kupima damu jana nina 9.8 gldl, ni kiwango kidogo sana karibia kupata anaemia, nimeshauliwa kula vyakula vya kungeza damu. nafurahi kuona nimegoogle nikaupata uzi huu, shukrani kwa wachangiaji wote, hakika mmetusaidia!
hapo hapo ndipo wabantu hunishangaza. unasema wewe sio wa kabila la wanyakyusa hivyo huwezi ukampa mtoto jina la kinyakyusa! wakati huo huo mfano utakuta wewe ni msukuma ila una jina la kizungu/kiarabu! yupi ni wakumshangaa zaidi? msukuma mwenye jina la kinyakyusa? au msukuma mwenye jina la...
majina ya kizungu na kiarabu waachie wazungu na waarabu, mpatie mtoto wako majina yenye asili yako (kiafrika) sio lazima jina liwe la kabila lako hata kabila lingine, kuna ya kiswahili pia, mbantu kumpatia mtoto wake jina la kizungu/kiarabu (ambalo hajui hata matamshi na maana yake) imekuwa...
ukiwa na kibamia wala usijali sana.. maana swala kuu ni kumlizisha mpenzi wako basi, kama mwanamke anaweza anaweza kulizishwa hata bila ya kuingiliwa na uume! kwanini uumize kichwa na kuwa na kibamia haha, urefu wa uume sio kitu. maana wapo wenye ndefu kama hashimu lakini hawawaridhishi wenzao...
kuna makala nimewahi kuisoma, mtafiti aliyeiandika anadai kwamba wanaume waliowengi ume zao zina urefu wa nchi 5 hadi 5 na nusu (waliowengi), kwahio kama una nchi 6 na kuendelea jua wewe ni superhuman, na chini ya nchi 5 ila si chini ya nchi 3 na nusu, ni kawaida tu (ila uwe umesitiriwa na unene...
You are a medical doctor doctor you are just saying what you were fed, period. wake up do your own researches. to me doctors are nothing but sleeping 'big pharma' agents
Kuolewa sio lazima..
Ila kwa mazingira yetu kibongobongo wanawake wengi hawajishughulishi wenyewe wengi wanategemea neema toka kwa mwanaume (siungi mkono swala hili)..
Kwahio kwa kukosa kitu mwanamke anaona ulazima wa yeye kuolewa..
Matokeo yake mwanaume akija na gear ya kuoa tu anakubaliwa...
Are there people who control world information (what we know in the world population)
I mean people who control world information, that they choose what to tell us what not to.. And they surely know what we know and what we know not!
Kuna source nimeisoma inasema watu wanaotambulika kama wayahudi leo sio Wayahudi na genetics zao zinaendana na za wazungu wa ulaya, hamna tofauti.
Sasa je watu gani ni wayahudi halisi
Nimetokea kuipenda sana kazi ya tour guiding, sijasoma course yoyote kuhusu hiki kitu ila nina dhamira ya dhati ya kufanya kazi hii. Naombeni mwongozo wenu kwa mnaoifahamu kazi hii vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.