Ukisoma injili ya mathayo 21.43 inasema ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake lenyewe.Je taifa hilo ni lipi?
Taasisi hii tatizo iliharibika zamani sana toka Adam na Hawa na haijawahi rekebishwa hivyo muda unavyoenda ndio inazidi kuporomoka,na hili jambo la haki sawa ni shida
Huu ni mtego wa ibilisi ili baadae hard copy zipotee halafu wanafuta au kubadili maandiko wapendavyo. Nashauri tutunze biblia zetu Kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo.Ukichunguza hizi zilizopo zinatofautiana toleo hadi toleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.