I can trust anybody, any gvt organ except the so called jeshi LA polise. Hawa jamaa ni majangiri wa serikali kabisa!!! Never dare to trust them....shame on you policcm
Nilikupa hongera bila kujua unakoenda. Ni kitu gani cha ziada umepata huko? Anyway kuna vitu pia hutavipata eagt, ukivipata kwingine ututaarifu pia wakati unahama.
Mungu akubariki zaidi. Achana na habari za ulikuwa wapi kabla, chamsingi kwako ni ukristo wako. Mguso wa Roho mtakatifu ni tofauti kwa kila mmoja wetu na kila anapoguswa huwa na sababu. Usijari kuhusu ulikuwa wapi. Hongera kwa ushuhuda
Haki sawa kwa misingi ipi? Wapalestina wanataka kuachive goals ambazo wanafahamu wazi wazi kwamba hawawezi kuziachive. Kati ya biblia na Koran ni kipi kilitangulia? Jibu unalo. Sasa biblia inasema yerusalemu ni ya nani? Jibu unalo! Koran inasema chochote kuhusu Jerusalem na umiliki wake. Let's...
One thing to note: Milele hutaikuta Israel katika ranks either za uchumi au kijeshi! Watu hujaribu kuikadiria lakini no one nows exactly. Umewahi kujiuliza uchumi wa dunia unapangwa na nani? E.g kupanda na kushuka kwa sarafu za dunia? Utasema labda world bank or IMF. Okay.. Unajua hizo zote ni...
Asante sana mdau, calculator ndiyo inatukika kwa sasa? Maana kuna mchangiaji amesema Kwa 1M itabaki 812000 ila kwa hii calculator inabaki 742200. Ipi ni sahii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.