NSSF ni asulimia 10% na mwajiri anakuchangia 10% mfano msharhara niHabari wadau? Naomba kujuzwa kwa anayefjahamu. Makato ya nssf huwa ni asyilimia ngapi? Na TRA wanakata kiasi gani? Kwa mshahara wa milioni moja utabakiwa na kiasi Gani baada ya makato haya yote? Ahsante!
NSSF ni asulimia 10% na mwajiri anakuchangia 10% mfano msharhara ni
812000
Habari wadau? Naomba kujuzwa kwa anayefahamu. Makato ya nssf huwa ni asilimia ngapi? Na TRA wanakata kiasi gani? Kwa mshahara wa milioni moja utabakiwa na kiasi Gani baada ya makato haya yote? Ahsante!
Asante sana mdau, calculator ndiyo inatukika kwa sasa? Maana kuna mchangiaji amesema Kwa 1M itabaki 812000 ila kwa hii calculator inabaki 742200. Ipi ni sahii?
Hakikisha figure unayoplug kwenye calculator iwe baada ya kutoa nssf
Kama Niko sahihi NSSF ni 10% hivyo inabaki 900,000/=. Ukiiplug hii unapata 157800. Hii ni sahihi au kuna mahali nakosea?