hela isiwe sababu ya kufany utandauchi, huko ni kujishushia heshima na pia inawaathir wadogo zake ambao wanamwona kama role model wao🤔 coz nao ndo baadae tunapat wauza utandauchi 🔞
Wakati mwanamume anapofanya tendo la ngono na mwanamke bila ruhusa yake, huo ni ubakaji. Lakini je, inakuwaje wakati mwanamke anapomlazimu mwanamume kushiriki ngono naye bila ruhusa yake? Wewe una maoni gani kuhusu hilo?
Habar👋🏽 zenyu wana JF
naomba kupata ufafanuz kuhus hizo kozi hapo kama kichwa cha habar kisemavyo ambazo zinatolewa chuo cha DMI
ningependa kujua pia zimekaaje kifursa! maan nalikuwa natak niombe hapa second round.
Ahsanten 🙏🏾🙏🏾
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.