Ufafanuzi kuhusu kozi ya marine engineering na offshore&naval architecture

Ufafanuzi kuhusu kozi ya marine engineering na offshore&naval architecture

Jcbmmnl

Member
Joined
Apr 23, 2018
Posts
30
Reaction score
12
Habar👋🏽 zenyu wana JF
naomba kupata ufafanuz kuhus hizo kozi hapo kama kichwa cha habar kisemavyo ambazo zinatolewa chuo cha DMI
ningependa kujua pia zimekaaje kifursa! maan nalikuwa natak niombe hapa second round.
Ahsanten 🙏🏾🙏🏾
 
Aaaah aaah dah.

Kifo nnje nnje aisee.

Yaani ni sawa na kujichimbia kaburi braza.. Ni nouma.. Yaaani msala mzee. Sijuh kwa nin haukuomba ushaur kabla haujaenda iyo kozi.

Mwaka jana walikufa 8 na majeruhi 13 kati ya watu 30 waliokuwa selected... Yaani 9 tu ndio wamesurvive.

Yaaani ni zaid ya ubaharia...

Kakaze ila ndio ujie maisha yako yapo ukingoni bro
 
Aaaah aaah dah.

Kifo nnje nnje aisee.

Yaani ni sawa na kujichimbia kaburi braza.. Ni nouma.. Yaaani msala mzee. Sijuh kwa nin haukuomba ushaur kabla haujaenda iyo kozi.

Mwaka jana walikufa 8 na majeruhi 13 kati ya watu 30 waliokuwa selected... Yaani 9 tu ndio wamesurvive.

Yaaani ni zaid ya ubaharia...

Kakaze ila ndio ujie maisha yako yapo ukingoni bro

Nidadafulie vzur Mkuu, ilikuwaje!!
 
Aaaah aaah dah.

Kifo nnje nnje aisee.

Yaani ni sawa na kujichimbia kaburi braza.. Ni nouma.. Yaaani msala mzee. Sijuh kwa nin haukuomba ushaur kabla haujaenda iyo kozi.

Mwaka jana walikufa 8 na majeruhi 13 kati ya watu 30 waliokuwa selected... Yaani 9 tu ndio wamesurvive.

Yaaani ni zaid ya ubaharia...

Kakaze ila ndio ujie maisha yako yapo ukingoni bro
Mbona unamtisha amesema anataka aombe second round
 
Mbona unamtisha amesema anataka aombe second round
Ndio asiombe akaushe...

Achana nae hawa madogo wa six wana maswali ya std 7 ayo ndio majibu yao... Hapo ukamjibu... Akauliza teena mshahara wao upoje
 
Ndio asiombe akaushe...

Achana nae hawa madogo wa six wana maswali ya std 7 ayo ndio majibu yao... Hapo ukamjibu... Akauliza teena mshahara wao upoje

Akiona haitoshi anaweza akakuuliza tena, unafanyia kazi wapi baada ya kozi kuisha.
 
Kama umechaguliwa kusoma nenda kasome. Hii kozi ndio mara ya kwanza imeanza kutolewa hapa Tanzania na East Africa.
 
Aaaah aaah dah.

Kifo nnje nnje aisee.

Yaani ni sawa na kujichimbia kaburi braza.. Ni nouma.. Yaaani msala mzee. Sijuh kwa nin haukuomba ushaur kabla haujaenda iyo kozi.

Mwaka jana walikufa 8 na majeruhi 13 kati ya watu 30 waliokuwa selected... Yaani 9 tu ndio wamesurvive.

Yaaani ni zaid ya ubaharia...

Kakaze ila ndio ujie maisha yako yapo ukingoni bro
Hii kozi haikuwapo nchini hiyo habari ya ajali hiyo tuambie wapi ilitokea kukanusha uzushi wako.
 
Mtakao soma kozi hii nyie ndio mtakua sample kwa wengine kuanzia ubora wa mtachojifunza mpaka soko lenu la ajira hapa nchini na nje ya nchi.

Soma kijana sije ikawa TPDC wanakuja kuwapa shavu mkafanye nao kazi.
 
Hii kozi haikuwapo nchini hiyo habari ya ajali hiyo tuambie wapi ilitokea kukanusha uzushi wako.
Kwa ni wapi hapo nimeandika ilitokea tanzania?

Uwage unatuliza ndonga kidogo.. Ndio wasomi wa taifa ninyi.

Aah aah ahh kazi saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom